Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,642
Kumbe bibi bomba....😁Weee umeitwa beautiful princess huko juu
Hawa watoto jamani!!!
Kumbe bibi bomba....😁Weee umeitwa beautiful princess huko juu
Hawa watoto jamani!!!
Au unataka nifungur nyingine😀..masukuma bwana😑
Alafu wa 94🤧Weee umeitwa beautiful princess huko juu
Hawa watoto jamani!!!
Alafu wa 94
Kumbe bibi bomba....
😂😂😂😂 Hornet hebu niachekiserengeti hicho kimejileta chenyewe
Wapo sana..kuna mdada fundi cherehani ana watoto 4..mkubwa anamaliza chuo mwaka huu...akitongozwa anasema hana mtoto...sema mwili wake unambeba! Namshangaaga sana....why uue wanao!Watoto wanne ukadanganye mwanaume haujawahi kuzaa?!
Wanawake wengine wana guts za ajabu mno
Mdogo wangu, hatma ya maisha yako ipo mikononi mwa Mungu. Humu JF kuna watu wana mitihani ya kutisha sana.
Mimi ninapitia mambo mazito sana katika maisha yangu sasa hivi lakini I LOOK NORMAL on the outside. Ninapambana nikijua haya yatapita tu kwa nguvu za Mungu.
Amen. Ipo siku Mungu atatuvusha salama.Pole legend, tuendelee Kupambana