Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Mara hoooo!!! Liverpool awachukui ligi kuu, mara liverpool watafungwa na Spurs fainali Uefa, sisi kama mashabiki wa Liver ata tusichukue kombe lolote lakini mziki wetu mmeupata msimu huu. Tufungwe fainali ya Uefa, Epl ndo tumeishaikosa ila mziki wetu mmeucheza msimu huu. Kwa mashabiki wa Liver nafikili kocha wetu ndo awe kocha wa kudumu wa Liverpool mpaka anakufa. Emu fikilia Trent Anord nani alikuwa anamjuwa, huyu Mane cjui walimtolea wapi? Vp kuusu beki bora kabisa duniani Van Vidich? Yani wachezaji wa elfu kumi wamegeuka kuwa lulu? Asante sana Klopp umetuangazia dunia kutupa tunachokitaka.