MLUMENDAGU
Senior Member
- Oct 31, 2014
- 183
- 31
Hivi dereva wa dalala au gari za abiria ni wanaruhusiwa kuweka mafuta katika vituo vya mafuta huku kukiwa na abiria ndani ya gari?
Sheria hairuhusu na hili lilishasemwa na polisi idara ya trafiki lakini mambo ya nchi hii ndo hivyo tena....!!!!