jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Huwa najiuliza maswali yasiyo na majibu.
Kwenye kampeni tunasikia mengi na ahadi nyingi ambazo mara nyingi hazitekelezeki:
1. Hivi mnaponadi mmefufua reli, ni serikali ya chama gani ilifilisi?
2. Shirika la ndege lilifilisiwa na viongozi wa serikali ya chama gani?
3. Mnaposema mmeleta ndege ili watalii waongezeke, kwani kuna mtalii alifanya booking akakosa ndege? Au hamjui mazingira ambayo si rafiki kwa wageni unategemea nini? Landing fee iko juu unategemea nini?
4. Nafikiri ni kipindi cha kusikiliza wagombea sasa hao wanamuziki mnaokwenda nao ndio tuwasikilize?
5. Mnapoongelea maendeleo inakuwaje nchi iwe na maendeleo ili Hali wafanyakazi wanalia njaa mshahara haupandi ila maisha yamepanda au ndo kusema utaweza kuendesha Vogue au VX wakati umelala njaa? Hata tukupeleke Serena ukalale pale ila usipopewa chakula hicho kitanda cha Serena utakiona ni jehanam.
Mwisho.
Nawashauri CCM uzeni sera zinazoendana na mazingira na hali halisi. Haya ya maendeleo waachieni wananchi watachambua.
Always don't make noise to proud for your success. Let success make noise for you.
Naombeni majibu
Jembe Afrika
Kwenye kampeni tunasikia mengi na ahadi nyingi ambazo mara nyingi hazitekelezeki:
1. Hivi mnaponadi mmefufua reli, ni serikali ya chama gani ilifilisi?
2. Shirika la ndege lilifilisiwa na viongozi wa serikali ya chama gani?
3. Mnaposema mmeleta ndege ili watalii waongezeke, kwani kuna mtalii alifanya booking akakosa ndege? Au hamjui mazingira ambayo si rafiki kwa wageni unategemea nini? Landing fee iko juu unategemea nini?
4. Nafikiri ni kipindi cha kusikiliza wagombea sasa hao wanamuziki mnaokwenda nao ndio tuwasikilize?
5. Mnapoongelea maendeleo inakuwaje nchi iwe na maendeleo ili Hali wafanyakazi wanalia njaa mshahara haupandi ila maisha yamepanda au ndo kusema utaweza kuendesha Vogue au VX wakati umelala njaa? Hata tukupeleke Serena ukalale pale ila usipopewa chakula hicho kitanda cha Serena utakiona ni jehanam.
Mwisho.
Nawashauri CCM uzeni sera zinazoendana na mazingira na hali halisi. Haya ya maendeleo waachieni wananchi watachambua.
Always don't make noise to proud for your success. Let success make noise for you.
Naombeni majibu
Jembe Afrika