Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 36,622
- 44,330
Unafikiri kwa nini serikali zinachora mistari, na zinaweka vibao vya speed limit na Zebra barabarani?? Kwa sababu zinafahamu kuna watu wajinga kama wewe wanaoajali kuwahi tu kama ndilo jambo la msingi kwenye safari.
KWA maelezo ya wadau hapo juu hasa kuhusu mfumo imara, kwa lugha nyepesi naomba nitoe mfano huu. Gari aina ya IST inamfumo ambao hautabadilika kwa dereva yoyote yule atakayeshika usukani kuongoza safari, mwendo utategemeana na ujuzi wa dereva katika kucheza na usukani sambamba na kukanyaga mafuta. Kutokana na hilo inakuwa rahisi kumpima dereva anayetuwahisha au anayetuchelewesha katika safari. Hivyo katika kuchagua mfumo pia kwa mfano huu umakini unahitajika vipi tukichagua mfumo wa IST badala ya FERRARI.? Kwa maana rahisi hata tukawa na mfumo bora bado hatua zetu zitamtegemea dereva wetu kufikia nchi ya ahadi.