KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,850
- 4,850
And also kuhusu Trump, ule uchaguzi umeibiwa live bila chenga,bahati yake mbaya kwasababu chama alichokuemo na wapinzani wake walikua hawamtaki...Usiwe unachungulia headline tu za CNN ,JARIBU KUFUATILIA kidogo..Mfumo Imara katika nchi ni mfumo wenye "Checks and Balances" ambazo zinazuia mtu mmoja mwenye mamlaka kufanya anavyojisikia yeye tu badala ya vile katiba, sheria na miongozo ya nchi inavyoelekeza. Lakini pia ni mfumo ambao unahakikisha kuwajibika kwa kiongozi endapo ataweza kuwa kichwa ngumu au jiwe kuzivuka checks and balances zinazopaswa kumdhibiti...