Kuna mada ya madikodiko fika huko utakutana na mafundi woteKwa anayefahamu kupika chainizi tamu naomba anipe maelekezo, nahitaji ladha.
Aweke na nazi.Osha chinese zako , kisha zikate kate. Zikwangulie carrot. Weka jikoni sofuria yenye mafuta (inategemeana na wingi wa mboga).Mafuta yakichemka kaanga kitunguu kikiwa brown kidogo weka chinese yako kaanga kwa dakika chache, weka chumvi kiasi, mboga tayari.
Hii sijawahi kuona.
Na beef cubeHii sijawahi kuona.
Tayari alishapewa muongozo hapo juu, au wewe husomi? Uwe unasoma discussion kabla ya kuweka haya 'ma-useless' comments yako.Ngoja waje kukupa muongozo...