Naomba maana ya neno TAHOJIA...?

Livejr

JF-Expert Member
Feb 6, 2014
2,068
2,792
Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA"
 
Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA"

Tahojia au 'tahajia'?

Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom