mdanganyika2009
Member
- Apr 29, 2009
- 5
- 0
Wana JF naombeni mwenye kuwajua wanaotarajia kugombea ubunge jimbo la Ukonga na Ilala ikibidi nawasifu wao.
Ninatanguliza shukrani zangu za dhati
Ninatanguliza shukrani zangu za dhati
Inategemewa Makongoroo Mahanga atasimama tena jimbo la Ukonga. Kuhusu wasifu wake...tafadhali tembelea tovuti ya Bunge.