- Thread starter
- #41
This is simply the best idea you've come up with so far.
Sasa vipi kuhusu Elimu, Ajira, Uhamiaji (ambao kwa sasa ndio umejaa wageni wezi wakishirikiana na waTZ) na Michezo?
OOH samahani Rich ngoja nimalize kwanza hili suala la uchumi halafu ndiyo tuingie ktk mambo mengine hayo maana nina imani tukiwa na pesa ya kutosha kila kitu kitajiseti tu mbona bila ufisadi mambo yanakwenda vizuri tu