Zero
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 299
- 17
nisingeteua mbunge yeyote tena utaratibu wa kuchagua wabunge ungekuwa kama wa big brother africa bba yaani unachaguliwa kwa mapendekezo ya wananchi tu sitaki unafiki wala sitaki mbunge auze au kuweka rehani nyumba yake kwa ajili ya kuhonga wanachama ili wamchague wakati anajua kabisa hata akiwa mbunge mshahara hautamtosha kununua nyumba kama ya zamani,maajabu haya ndugu wananchi
Ukimaliza sera zako utupe na wasifu wako. Then utupe na picha yako. Kuna watu wanasema umewahi kuonekana Mirembe kule Dodoma. Sasa sijui walikuona kama Daktari au mgonjwa. Ukiweka picha itasaidia kidogo.