ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,622
- 2,428
Maana naona fursa nyingi ni janja janja wanakwambia utavuna free but at the end huoni matunda yake mpk nakoswa imani kwa free money without kutoka jasho ,juzi nimeona uzi wa ndugu TECH eti maujanja jinyakulie pesa mkononi kwa kutuma picha then ikikidhi vigezo utalipwa !!mmmmmhh me naona siyo kweli coz kils mtu pesa huitafuta kwa jasho awe cheupe su cheusi so hakuna wa kugawa pesa for free ila kama kuna fursa mshajaribu na zinawalipa naombeni mtujuze.
SORRY KAMA NITAWAKERA BUT NIMEELEKEZEA KWENYE JUKWAA LA TECH
SORRY KAMA NITAWAKERA BUT NIMEELEKEZEA KWENYE JUKWAA LA TECH