Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 6,706
- 12,446
.
Kwa sababu ni sekta ambayo ajira yake inaeleweka na wana ratiba isiyo badilika badilika,hawana semina za kila kukicha,vikao mia mia siku za weekend sio vingi. Ila hio ni zaman siku hizi baadhi waalimu vijana wanawaharibia wengine sifa kwa matendo yasiyofaa.
Kwa sababu ni sekta ambayo ajira yake inaeleweka na wana ratiba isiyo badilika badilika,hawana semina za kila kukicha,vikao mia mia siku za weekend sio vingi. Ila hio ni zaman siku hizi baadhi waalimu vijana wanawaharibia wengine sifa kwa matendo yasiyofaa.