Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,336
Ni mwezi sasa umepita toka nikumbane na hili janga.
Nina kawaida ya kuamka saa kumi kwenda kazini
Leo ni mwezi umepita, nilivyofika sehemu ya kupanda gari kuelekea kazini ,mbele yangu naona kuna ice hizi min-bus ,ikasimama mimi nikaipanda ,
Mle ndani ya gari kulikwepo akina mama na akina baba umri ni watu wazima,sikubatika kupata siti na nilisimama mwenyewe,na konda hakwepo kwenye ile gari
Niliwasalimia lkn hata mmoja hakuitika,mi nikasema ni jambo la kawaida
Ukaaji wao wote walinamisha vichwa vyao chini
Nilivyofika barabara kuu nikamwambia dereva nishushe hapo,kweli alisimama nikampa Ela alikataa kupokea mi nikashuka na kuendelea na Safari ya kuelekea kazini,
Jioni nilivyorudi home,huwa nina kawaida ya kwenda kujichanganya na wazee wa kwenye kahawa japo c tumii kahawa ,napenda tu stori zao,
Nikawasimulia,wote walinigeukia na kuniambia una bahati Sana kwenye maisha yako,wengine wakaenda mbali wakasema huko musoma kwenu ulitoka vzr,mimi nikapuzia tu.
Msaada wangu ni Yesu huwa nasali nikiamka na kurudi na ndo kanuni yangu,kwa Mungu kuna ulinzi,na haya mambo yapo.
Mungu ana manguvu sana
Nina kawaida ya kuamka saa kumi kwenda kazini
Leo ni mwezi umepita, nilivyofika sehemu ya kupanda gari kuelekea kazini ,mbele yangu naona kuna ice hizi min-bus ,ikasimama mimi nikaipanda ,
Mle ndani ya gari kulikwepo akina mama na akina baba umri ni watu wazima,sikubatika kupata siti na nilisimama mwenyewe,na konda hakwepo kwenye ile gari
Niliwasalimia lkn hata mmoja hakuitika,mi nikasema ni jambo la kawaida
Ukaaji wao wote walinamisha vichwa vyao chini
Nilivyofika barabara kuu nikamwambia dereva nishushe hapo,kweli alisimama nikampa Ela alikataa kupokea mi nikashuka na kuendelea na Safari ya kuelekea kazini,
Jioni nilivyorudi home,huwa nina kawaida ya kwenda kujichanganya na wazee wa kwenye kahawa japo c tumii kahawa ,napenda tu stori zao,
Nikawasimulia,wote walinigeukia na kuniambia una bahati Sana kwenye maisha yako,wengine wakaenda mbali wakasema huko musoma kwenu ulitoka vzr,mimi nikapuzia tu.
Msaada wangu ni Yesu huwa nasali nikiamka na kurudi na ndo kanuni yangu,kwa Mungu kuna ulinzi,na haya mambo yapo.
Mungu ana manguvu sana