conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,116
- 762
naomba kuuliza wapi nitapata injini bora ya mtumba ya mark 2 gr,shafti ilishachongwa nataka kubadili moja kwa moja injini maana gharama za kuchonga na kununua baadhi ya vipuli naona ni ghali kiasi,kuna watu wamenishauri nitafute injini mpya.msaada tafadhali