plainpaper
Member
- Oct 12, 2018
- 71
- 60
Habari za asubuhi wanajamvi, naomba kuuliza kuhusu utaratibu naoweza kuutumia ili kupata Kitambulisho cha utaifa. Wakati mawakala wanapita kuandikisha katika mitaa yenu nilikuwa nchi jirani nikiimuuguza mzazi hivyo sikupata nafasi ya kuandikishwa. Ni utaratibu gani naweza kufuata ili nipate kitambulisho