Wasikutishe ni matumizi yako tu mkuu, ukifunguka zaidi 120 km/h na yenyewe inafungua haswaaa lakini kama una enda chini ya hapo matumizi ni ya kawaida ila iwe katika hali nzuri
Inategemea na ulipo
Ila kama ni mjini humuhumu ni bora utafte gari zuri jingine
Maana Brevis sio gar zur na litapitwa na wakati sio mda na linakula mafuta sana kwa golen za apa na pale, kingine ni zito sana na engine kubwa so nguvu nyingi zinatumika kuendesha uzito mkubwa kitu kinacholifanya lisiwe na acceleration kubwa na wepesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.