Wabunge wa CDM hawaoi wala kuolewa! Zitto, Sugu, Mnyika, Mdee........
Wabunge wa CDM hawaoi wala kuolewa! Zitto, Sugu, Mnyika, Mdee........
Hana mke, hana mchumba hivyo hajaoa. #kwamujibuwakeyeyemwenyewe
wanajavi JF naomba kujibiwa hilo swali, mwaka huu 2012 nimeanza kufuatilia makala na speech za mhe. zitto kabwe. nikawa najiuliza huyu mheshimiwa je ana mke yaani kaoa. nikishapata jibu nitawaambia kwa nini nauliza hivi.
natumaini hamtanishambulia baadhi yenu hahahahhhaa
Mhuni yule hajaoa.
Tunakutana nae kila leo asubuhi pale Movenpick akila breakfast na washkaji.
wanajavi JF naomba kujibiwa hilo swali, mwaka huu 2012 nimeanza kufuatilia makala na speech za mhe. zitto kabwe. nikawa najiuliza huyu mheshimiwa je ana mke yaani kaoa. nikishapata jibu nitawaambia kwa nini nauliza hivi.
natumaini hamtanishambulia baadhi yenu hahahahhhaa
Mkitaka kujua Thread hii ni umbea Business basi nukuu sentensi ya mwisho ya huyu jamaa hapo kwenye Red!
Kwahiyo mnaokutana ni wahuni wote au
yeye tu.
Zito ana mke na mtoto kama sio watoto kufuatana na katiba yetu,kama hujaelewa kasome katiba vizuri