Naomba kuuliza ...labda kuna sababu...

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Kwanini wanawake/mabinti wanaitwa majina haya?

Wadudu/ dudu...?

Vyombo/chombo..?
miwashawasha/washawasha....?
mizigo/mzigo/zigo...?

n.k,

Kuna sababu gani ya haya majina?
 
Yote hii ni effects za pornograph ambazo nyingi huonesha mwanamke kama chombo cha kumrdhisha mwanamme. Kuna post niliituma hapa jana ikapoteaghafla ilikuwa na article in pdf ambayo inaeleza kiuwazi kabisa madhara ya pornograph na masterbation mojawapo likiwa ni hili la kuwatoa thamani wanawake na hata kuwaita majina ya ajabu ajabu! hii post siioni sijui mods wameiweka wapi sbb hata nikiserch post zangu siioni!!!:embarrassed::frusty:
 
Yote hii ni effects za pornograph ambazo nyingi huonesha mwanamke kama chombo cha kumrdhisha mwanamme. Kuna post niliituma hapa jana ikapoteaghafla ilikuwa na article in pdf ambayo inaeleza kiuwazi kabisa madhara ya pornograph na masterbation mojawapo likiwa ni hili la kuwatoa thamani wanawake na hata kuwaita majina ya ajabu ajabu! hii post siioni sijui mods wameiweka wapi sbb hata nikiserch post zangu siioni!!!:embarrassed::frusty:

Itakuwepo nenda chumba cha 2 au cha 3 mkuu
Lakini wenyewe hawalalamiki kabisa
 
Kwanini wanawake/mabinti wanaitwa majina haya?

Wadudu/ dudu...?

Vyombo/chombo..?
miwashawasha/washawasha....?
mizigo/mzigo/zigo...?

n.k,

Kuna sababu gani ya haya majina?


Je, Mkuu na wewe ulishawahi kujiuliza kwanini wanaume wanaitwa:
ATM,
BUZI/MABUZI
***** LANGU
..................n.k.?? Tafakari, Chukua hatua! tit for tat!!
 
Je, Mkuu na wewe ulishawahi kujiuliza kwanini wanaume wanaitwa:
ATM,
BUZI/MABUZI
***** LANGU
..................n.k.?? Tafakari, Chukua hatua! tit for tat!!

Hili najua kwa sababu ya kutoa fedha kwa mabinti

Na kuwapa starehe za vinywaji na nyamachoma
 
Itakuwepo nenda chumba cha 2 au cha 3 mkuu
Lakini wenyewe hawalalamiki kabisa

Haipo mkuu, labda waeamua kuhamishia jukwaa kubwa ambako sina access, lakini haikuwa ya kikubwa na niliitoa ili iwe fundisho na kwa vijana wadogo wanaoangalia porn na kufanya musterbation:focus: . Kuhusu hayo majina mkuu sidhani kama wanayapenda hata kama wamekaa kimya sbb kwa mtu mwenye akili timamu kumuita majina hayo si rahisi kuafikiana nayo, immagine wengine wanawaita Paka, Choo!!! nadhani ungeipata ile article ukaisoma ungekubaliana nami sbb ya hawa kuitwa hivyo. Lakini kwa mtazamo wangu si vyema kuwaita hivo.
 
Nikigeuka kushoto mwanamke!kulia mwanamke!mbele mwanamke!nyuma mwanamke!

Hii inazidisha nizidi kujiona nilivyo wa thamani,,asante Mungu kwa kuniumba mwanamke.
 
Haipo mkuu, labda waeamua kuhamishia jukwaa kubwa ambako sina access, lakini haikuwa ya kikubwa na niliitoa ili iwe fundisho na kwa vijana wadogo wanaoangalia porn na kufanya musterbation:focus: . Kuhusu hayo majina mkuu sidhani kama wanayapenda hata kama wamekaa kimya sbb kwa mtu mwenye akili timamu kumuita majina hayo si rahisi kuafikiana nayo, immagine wengine wanawaita Paka, Choo!!! nadhani ungeipata ile article ukaisoma ungekubaliana nami sbb ya hawa kuitwa hivyo. Lakini kwa mtazamo wangu si vyema kuwaita hivo.

sure mkuu
 
Nikigeuka kushoto mwanamke!kulia mwanamke!mbele mwanamke!nyuma mwanamke!

Hii inazidisha nizidi kujiona nilivyo wa thamani,,asante Mungu kwa kuniumba mwanamke.

sijaelewa hapo wiselady, yaani ukijicheki nyuma (makalio), ukicheki mbele(kitumbua), kushoto (hips) au unamaanisha nini wewe binti?
 
Back
Top Bottom