PCMCIA slot ni expansion slot kwa portable computers ambazo hazina uwezo wa kupokea PCI card (Hazina PCI slots kama desktop). Hivyo ili kuweza kuongeza kifaa cha ziada ilitakiwa kuweka PCMCIA Card kwenye PCMCIA slot.
Baadhi ya nyongeza zinazopatikana katika PCMCIA card ni kama vile:- TV Tuner, USB ports Expansion, Serial Port (i.e RS232/DB9 connector), Serial Port/Printer Port, Multimedia Ports (I.e fireWire port, HDMI port, VGA port, Sound port) Etc
chukulia vitu kama usb flash drive , wifi dongle, bluetooth dongle, usb modem ivi vyote hutumia mfumo wa usb kuwasiliana na pc/tv yako
sasa kitambo kitambo usb ilikua haipo, pcmcia ( parallel com ) na RS 232 ( serial com ) ndio zilikua zikitamba kama mifumo ya usafirishaji data kati ya peripherals ( modem,wifi device,bt device,hdd(IDE)) na pc/tv
Kujibu swali lako, iyo slot utaweza pachika flash au modem zenye pcmia interface kama ya namna hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.