Hakuna madhara kama mtoto anapata lishe nzuri na upendoHabari wa JF, naomba kuuliza juu ya athari anayoweza kupata mtoto aliyebebewa mimba akiwa na miezi sita au chini ya hapo. Je joto la mama ambaye mjamzito linaweza kumuathiri mtoto au kitaalam imekaaje
Haina effectMaana baadhi ya watu wanasema joto la mama lina madhara kwa afya ya mtoto ndo mana nimeona nije humu kwa wajuvi
Hakuna madhara kama asemavyo mdau hapa juu. Zingatia mtoto apate lishe nzuri sana, mpende mwanao sana (Yaani usimchukie) Kula vizuri pia kumlinda mwanao wa tumboni. Endelea kunyonyesha hadi mwezi wa nane, mwezi wa tisa wa mimba yako mwachishe ili kutengeneza maziwa ya kiumbe ajaye. Kila la kheri.Hakuna madhara kama mtoto anapata lishe nzuri na upendo
Thanks very muchHakuna madhara kama asemavyo mdau hapa juu. Zingatia mtoto apate lishe nzuri sana, mpende mwanao sana (Yaani usimchukie) Kula vizuri pia kumlinda mwanao wa tumboni. Endelea kunyonyesha hadi mwezi wa nane, mwezi wa tisa wa mimba yako mwachishe ili kutengeneza maziwa ya kiumbe ajaye. Kila la kheri.
(Mimi pia nilibebesha mtoto kama wewe, lakini sikupata shida yoyote nilipoufuata ushauri wa Madaktari, epuka maneno ya mtaani.)