The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,421
- 17,018
Nimeshuhudia sehemu maandamano makubwa sana kipindi hiki cha hivi karibuni baada ya mtu mweusi kuuwawa na polisi weupe huko Marekani, bwana Floyd.
Baada ya hicho kifo watu wameandamana nchi nyingi za bara la Amerika na Ulaya.
Nimeona tshirts, posters na matangazo kibao ya black lives matter sehemu nyingi za Ulaya na Marekani lakini sijaona maandamano ya mtindo huo nchi za Asia.
Sijaona maandamano hayo Saudi Arabia, Yemen, Kuwait, India, China, Korea Kusini, Bahrain, Indonesia, Burma, Taiwan, Japan, Urusi, Pakistan, Malaysia na nyingine.
Juxi hapa wakati huu wa corona waafrika wametendewa vibaya sana huko china kwa kulazimishwa kupimwa corona, kukaa karantini kwa lazima na mambo kama hayo. Sikuona WHO au AU inakemea wala kutoa tamko.
Tumekua tukiona video footage za waafrika wakiteswa na kuuwawa nchi za mashariki ya kati na Asia kila mara.
Swali langu, mbona hatukuandamana kupiga unyanyasaji wa rangi asia, mbona sikuona maandamano ya kupinga unyanyasaji nchi za Asia.
Huko ulaya hata wangungu waliungana na weupe kupinga unyanyasaji wa dola na wa rangi, weupe wa asia hawakuona hilo?
Baada ya hicho kifo watu wameandamana nchi nyingi za bara la Amerika na Ulaya.
Nimeona tshirts, posters na matangazo kibao ya black lives matter sehemu nyingi za Ulaya na Marekani lakini sijaona maandamano ya mtindo huo nchi za Asia.
Sijaona maandamano hayo Saudi Arabia, Yemen, Kuwait, India, China, Korea Kusini, Bahrain, Indonesia, Burma, Taiwan, Japan, Urusi, Pakistan, Malaysia na nyingine.
Juxi hapa wakati huu wa corona waafrika wametendewa vibaya sana huko china kwa kulazimishwa kupimwa corona, kukaa karantini kwa lazima na mambo kama hayo. Sikuona WHO au AU inakemea wala kutoa tamko.
Tumekua tukiona video footage za waafrika wakiteswa na kuuwawa nchi za mashariki ya kati na Asia kila mara.
Swali langu, mbona hatukuandamana kupiga unyanyasaji wa rangi asia, mbona sikuona maandamano ya kupinga unyanyasaji nchi za Asia.
Huko ulaya hata wangungu waliungana na weupe kupinga unyanyasaji wa dola na wa rangi, weupe wa asia hawakuona hilo?