Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Wadau kwema,
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza yani ipo hivi naskia mara kuna kiwanja cha ndege kinataka kujengwa kuanzia Mwezi huu tarehe 30 ndo wanaanza hizo process, ila sijajua vibarua utaribu huwa unakuwaje? Ili kupewa kazi kwenye hizo tenda za ujenzi wa kiwanja cha ndege.
Nawaomba wenye uzoefu tuambizane maana wanasema watakijenga kwa miezi 20 hivi sasa hapo kuja kumaliza si utakuwa una hela si haba.
Karibu kwa maoni na ushauri.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza yani ipo hivi naskia mara kuna kiwanja cha ndege kinataka kujengwa kuanzia Mwezi huu tarehe 30 ndo wanaanza hizo process, ila sijajua vibarua utaribu huwa unakuwaje? Ili kupewa kazi kwenye hizo tenda za ujenzi wa kiwanja cha ndege.
Nawaomba wenye uzoefu tuambizane maana wanasema watakijenga kwa miezi 20 hivi sasa hapo kuja kumaliza si utakuwa una hela si haba.
Karibu kwa maoni na ushauri.