Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Wapo Watumishi wasiopanda Vyeo wakiambiwa hawajasoma Kozi Fulani kwa miaka 20 tangu waajiriwe. Wanafanya kazi kwa Ufanisi wanajaza OPRAs lakini hakuna cheo wala Kuongezwa Mshahara.
Huwa wanahusishwa tuu kwenye Scheme of Service zikifanyiwa marekebisho. Hivi Utumishi hawaoni haja ya kuhoji mlundikano wa wasiopanda Vyeo kwenye Database zao.?
Ni udhalilishaj na dharau Senior Mtumishi kulingana au kupitwa Mshahara na Junior mwenye sifa sawa. Walimu wao kila baada ya miaka 3 hupandishwa Madaraja bila Kozi.
Huwa wanahusishwa tuu kwenye Scheme of Service zikifanyiwa marekebisho. Hivi Utumishi hawaoni haja ya kuhoji mlundikano wa wasiopanda Vyeo kwenye Database zao.?
Ni udhalilishaj na dharau Senior Mtumishi kulingana au kupitwa Mshahara na Junior mwenye sifa sawa. Walimu wao kila baada ya miaka 3 hupandishwa Madaraja bila Kozi.