Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huongeza consumption ya mafutaAc inatumia umeme kama taa za gari
Kivipi? Jaribu kuelezeaMbona huongeza consumption ya mafuta
labda teknlojia imenipita ila navyojua a/c inawezeshwa na gas compressor ambayo hua driven na crankshaft ya engine(hutumia mafuta ku run), cool-air blower ndo zinatumia umemeNaomba kuuliza hivi ac ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nn?msaada wanajamvi
Nikiweka mafuta ya elfu kumi naenda na kurudi kazini kwangu...bila kuwasha ac!!!nikiweka ya hiyo hela na nikawasha ac nitaenda tu na taa ya mafuta kuisha itawaka...hivyo matumizi ya ac. huongeza matumizi ya mafutaKivipi? Jaribu kuelezea
ahaaa kwa hiyo hata gari likiwa halina fuel unaweza ukatumia AC?? so Ac haina uhusiano na mafuta wala engine?Ac inatumia umeme kama taa za gari
Unanicheka au unanielewesha?ahaaa kwa hiyo hata gari likiwa halina fuel unaweza ukatumia AC?? so Ac haina uhusiano na mafuta wala engine?
sijakucheka mkuu..nimetaka kujua tuUnanicheka au unanielewesha?
Na hapa ndipo matumizi ya mafuta huongezeka coz unapowasha a/c unaongeza mzigo kwny injini!labda teknlojia imenipita ila navyojua a/c inawezeshwa na gas compressor ambayo hua driven na crankshaft ya engine(hutumia mafuta ku run), cool-air blower ndo zinatumia umeme
Inatumia mafuta ila siyo moja kwa moja. AC inendeshwa na crackshaft ambayo ndiyo inayokula mafuta yako, ukiwa makini sana utagundua kuwa kila ukiwasha AC gari lako hubadili muungurumo kidogo kwa sababu huanza kunywa mafuta mengi kuiwezesha crackshaft iendeshe gari na vile vile kuendesha Ac yako.Naomba kuuliza hivi ac ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nn?msaada wanajamvi
Jibu sahihi mkuuInatumia mafuta ila siyo moja kwa moja. AC inendeshwa na crackshaft ambayo ndiyo inayokula mafuta yako, ukiwa makini sana utagundua kuwa kila ukiwasha AC gari lako hubadili muungurumo kidogo kwa sababu huanza kunywa mafuta mengi kuiwezesha crackshaft iendeshe gari na vile vile kuendesha Ac yako.
Kivipi? Jaribu kuelezea
Ameeleza kihovyo hovyo!!Tabash Yamashta has closed a thread.
AC ya gari inatumia umeme Wa gari . unaweza ukawasha Ac ya gari pasipo injini ya gari ikiwa imewaka hapo inakuwa inatumia umeme kutoka kwenye betri. Ila ukifanya hivyo betri yaweza kuishiwa chaji. Kwa hiyo ukiwasha gari AC itaanza kutumia umeme toka kwenye alternator ambayo ndiyo hufua umeme Wa gari. Kadri alternator inahitajika kufua umeme kiwango cha matumizi ya mafuta huongezeka.A/C nikijimtambo kilichopo pembeni mwa injini, na ili kifanye kazi ni lazima kizungushwe, ...kinazungushwa na nini?* Ili iwe katk mzunguko kuna belt ilie valishwa kutoka ktk pul ya njin had ktk kijimtambo hicho,pindi tu! uwashapo gari lako !!" kijimtamba hicho huzunguka ktk hali ya uwepesi sana muda wote wa njin kuunguruma,, pia pale tu! ...unapo taka hewa ndani ya gari lako?* inakulazim Ubonyeze kitufe au swich ilie andikwa A/C,, hiki kitufe kinatumia umeme wa gari aina ya DC, moja kwa moja hadi kwenye kimtambo kile cha A/C ...hapo ndipo kuna Lock swich .yaani on & off ,ambapo ukibonyeza kule ndani ...ili kile kimtambo kifanye kazi na kule chini kunajiunganisha ,hapo ndipo mzigo unaongezeka ktk njini, Nisawa na gari uipe mzigo, au ikiwa inapanda kiliman,, Nilazima gari iwe nzito na kubadili mlio kua mzito, Na ndivyo ulaji wa mafuta huongezeka, NISAMEHEMI KW UJUMBE MREFU, JAPO KWA FAIDA nawatakia kion njema wa Jf bay