Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,470
- 2,644
Wasalam, nakumbuka miaka ile 2005 iliibuka kambuni ya kufua umeme ya Richmond. Kambuni hii baadae ilikujagundulika kuwa ni kampuni hewa kitu kilichopelekea aliekua waziri mkuu wakati ule ndugu lowassa kujiuzuru uwaziri mkuu.
Baadae serikali hii ya ccm ilibadili jina la Richmond kuwa symbion mitambo ikiwa ni ile ile ya kampuni iliosemekana ni hewa. Leo hii ni 2018 bado ile kampuni ipo na inalipwa na serikali, naomba kuuliza je hii symbion ndo ile Richmond? Je hii symbion ni kampuni halali? Je haramu inaweza kuzaa kitakatifu?
Baadae serikali hii ya ccm ilibadili jina la Richmond kuwa symbion mitambo ikiwa ni ile ile ya kampuni iliosemekana ni hewa. Leo hii ni 2018 bado ile kampuni ipo na inalipwa na serikali, naomba kuuliza je hii symbion ndo ile Richmond? Je hii symbion ni kampuni halali? Je haramu inaweza kuzaa kitakatifu?