Naomba kuuliza bei ya hii pikipiki

Pembeni ya mada kidogo...
Hizi zinawafaa wamama na kama wanaume basi Wahindi koko/ Wapemba/ Mashombeshombe wale wenye miraba minne
 
Mkuu niliwah kwenda dukan mim na shem wangu ( wakike) mkoan huko alikapenda haka kapikpik....Nakumbuka Tulichukua Mil 3.4 Na hyo ilikua 2014...... Tabora huko Now day sijajua kama imesimama ama imeshuka zaid!!!

Lakin zinatofautiana quality!! Kama ni za india bei inasimama kidogo tofaut! Na za Japan ama Used from uk!!!!

N.B
Bajeti yako isishuke chini ya Mil 2.5 mpka 3M......ndio utaipata hii mashine!!!!!!
 
Waliwakutaa nyie ni wasukumaaa...! Hiyo haizidi mil 2 tena mpyaa dukanii..
Mkuu niliwah kwenda dukan mim na shem wangu ( wakike) mkoan huko alikapenda haka kapikpik....Nakumbuka Tulichukua Mil 3.4 Na hyo ilikua 2014...... Tabora huko Now day sijajua kama imesimama ama imeshuka zaid!!!

Lakin zinatofautiana quality!! Kama ni za india bei inasimama kidogo tofaut! Na za Japan ama Used from uk!!!!

N.B
Bajeti yako isishuke chini ya Mil 2.5 mpka 3M......ndio utaipata hii mashine!!!!!!
 
Zipo pikipiki used ya South African bei nzuri karibu
78b31fd2-c15f-4e05-819d-a3f41d7b82ee.jpg

8f1ebac5-8463-4aa6-ad76-94e93869e9c9.jpg

6aa00c32-2c69-40d8-ac82-28210f77dd94.jpg

b339955f-1727-4b20-accb-c7825e0e73b7.jpg

ff3c36f7-37c9-472e-b317-1091597565e9.jpg

IMG_0776.jpg

IMG_0779.jpg

02f55907-7f8f-4fe0-b2fd-3db4eaf11ebd.jpg

8b51f6b4-7785-4156-80ce-4c6e2b52afbc.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom