Msaada kuhusu kurudia mtihani wa kidato cha nne

Body Armory

Member
Jun 24, 2021
19
7
Napenda kufahamu kuhusu utaratibu wa kurudia mtihani wa kidato cha nne maana naamini humu walimu wapo wanaohusika na wanaorudia mitihani hyo, je wanaorudia mtihani huwa nao wanakuwa na continious assesment(CA) pili wao mitihani yao inasahihishwa na kupewa alama kwa utaratibu upi?

Tatu na mwisho kuna ulazima wa kufanya test za mitihani kama mwanafunzi aliyeko shuleni,

Ahsanteni.
 
Kurudia mtihani NECTA wanakuchukulia kama Adult person.

HAKUNA MFUMO RASMI kwa ADULT maana wao ni well Occupied wuth responsibilities.

Ni jukumu lako kutafuta OPEN SCHOOL ambayo italandana na ratiba, uwezo wako.

Hakuna mfumo ulio wazi wa CA.

Kufanya mitihani ni vema ili kujipima kama
... una content za kutosha
... una uwezo na mbinu za kujibu maswali.
... una time management stahiki.
... kujua makosa na madhaifu katika kujifunza
 
Simpo tu mkuu, kurudia mtihani maana yake ulishafanya na unataka kujaribu bahati yako kwa mara ya pili.

Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye shule/kituo chochote kinachoandikisha wanafunzi wa kujitegemea/pc ili upewe namba rejea ambazo kila kituo hupewa na baraza la mitihani.

Kwa kawaida namba hizi huwa bure kwa mujibu wa baraza , lakini andaa elfu 30 mpaka 50 kwa ajili ya kuilipia kwa jina ya gharama ya kituo husika, lazima utatakiwa kulipia gharama hizi katika shule/kituo husika.

Ukipata ref namba unakwenda nayo mara nyingi posta ya karibu wana dirisha linalohusika na ulipiaji wa mitihani kwa wanaorudia.

Gharama za hapo huwa 65 kwa maana ya mtihani elfu 50 na gharama za posta wao huchukua 15.

Posta watakachohitaji; namba yako ya mtihani uliyofanyia awali mfano s4554/6766/2017, kituo unachofanyia, sanduku lao la barua, email kama unayo na masomo unayorudia.

Ukiwapa ndani ya dakika 5 wanaingiza taarifa hizo na kukupatia karatasi yako ya usijali. Unaweza kuitoa kopi ukapeleka kwenye shule/kituo husika kwa rejea ya baadae.

Hapo unakua umemaliza jukumu lako na namba yako ya mtihani husika itatumwa kwenye kituo chako mwezi mmoja kabla ya siku ya mtihani. Utaenda kuichukua kwa mkuu wa shule/kituo katika muda huo tayari kwa kuanza mapambano mapya.

NB: wanaorudia mitihani hawana continuous assessment mana wao sio wanafunzi endelevu wa shule. Unajisomea binafsi au baadhi ya shule/vituo hufundisha kwa mfumo wa tuition. Lakini hata kama utakua darasani na kufundishwa hutakua na alama endelevu, wewe unapambana na paper ya necta tu.

Faida yake, huvai uniform siku ya kwenda kwenye mtihani wa necta. Unatupia chchote kwa mujibu wa tamaduni za Mtanzania unazama mahakamani.

ANGALIZO: Katika kila mtihani kumbuka kubeba ile karatasi yako yenye namba ya mtihani utakayoipata toka kwa mkuu wa shule/kituo mana ndio kitambulisho chako.

Ingawa wasimamizi wanakua na sheet
nyininge toka necta yenye majina na picha zote za watahiniwa, ila nawe ni lazima kuwa na barua yako. Usijaribu kudanganya wana data zote za watahiniwa wa kituo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpo tu mkuu, kurudia mtihani maana yake ulishafanya na unataka kujaribu bahati yako kwa mara ya pili.

Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye shule/kituo chochote kinachoandikisha wanafunzi wa kujitegemea/pc ili upewe namba rejea ambazo kila kituo hupewa na baraza la mitihani.

Kwa kawaida namba hizi huwa bure kwa mujibu wa baraza , lakini andaa elfu 30 mpaka 50 kwa ajili ya kuilipia kwa jina ya gharama ya kituo husika, lazima utatakiwa kulipia gharama hizi katika shule/kituo husika.

Ukipata ref namba unaekwenda nayo mara nyingi posta ya karibu wana dirisha linalohusika na ulipiaji wa mitihani kwa wanaorudia.

Gharama za hapo huwa 65 kwa maana ya mtihani elfu 50 na gharama za posta wao huchukua 15.

Posta watakachohitaji; namba yako ya mtihani uliyofanyia awali mfano s4554/6766/2017, kituo unachofanyia, sanduku lao la barua, email kama unayo na masomo unayorudia.

Ukiwapa ndani ya dakika 5 wanaingiza taarifa hizo na kukupatia karatasi yako ya usijali. Unaweza kuitoa kopi ukapeleka kwenye shule/kituo husika kwa rejea ya baadae.

Hapo unakua umemaliza jukumu lako na namba yako ya mtihani husika itatumwa kwenye kituo chako mwezi mmoja kabla ya siku ya mtihani. Utaenda kuichukua kwa mkuu wa shule/kituo katika muda huo tayari kwa kuanza mapambano mapya.

NB: wanaorudia mitihani hawana continuous assessment mana wao sio wanafunzi endelevu wa shule. Unajisome binafsi au baadhi ya shule/vituo hufundisha kwa mfumo wa tuition. Lakini hata kama utakua darassni na kufundishwa hutakua na alama endelevu, wewe unapambana na paper ya necta tu.

Faida yake, huvai uniform siku ya kwenda kwenye mtihani wa necta. Unatupia chchote kwa mujibu wa tamaduni za Mtanzania unazama mahakamani.

ANGALIZO: Katika kila mtihani kumbuka kubeba ile karatasi yako yenye namba ya mtihani utakayoipata toka kwa mkuu wa shule/kituo mana ndio kitambulisho chako.

Ingawa wasimamizi wanakua na sheet
nyininge toka necta yenye majina na picha zote za watahiniwa, ila nawe ni lazima kuwa na barua yako. Usijaribu kudanganya wana data zote za watahiniwa wa kituo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shkrani sana mkuu nimekuelewa vzr kabisa
 
Kurudia mtihani NECTA wanakuchukulia kama Adult person.

HAKUNA MFUMO RASMI kwa ADULT maana wao ni well Occupied wuth responsibilities.

Ni jukumu lako kutafuta OPEN SCHOOL ambayo italandana na ratiba, uwezo wako.

Hakuna mfumo ulio wazi wa CA.

Kufanya mitihani ni vema ili kujipima kama
... una content za kutosha
... una uwezo na mbinu za kujibu maswali.
... una time management stahiki.
... kujua makosa na madhaifu katika kujifunza
Ahsant sana kiongoz kwa muongozo
 
Grade za private candidate zinaanzia na ngapi?
Hakuna grades za private candidates pekee, grades zote zipo sawa kama wanafunzi wa shule. Naongea kama mwalimu/mkuu wa shule wa zamani mzoefu na nimehudhuria marking za mitihani mingi ya kitaifa.

Tofauti yao ni kutokuwa na alama endelevu tu ambao wanafunzi wa shule hupelekewa na kuhusika katika uchakataji wa matokeo yao ya mwisho..

Hizo ni nadharia za mtaani tu kwamba alama za wanafunzi binafsi zinakua tofauti na wanafunzi wa shule mkuu. Utofauti upo kwenye CA tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpo tu mkuu, kurudia mtihani maana yake ulishafanya na unataka kujaribu bahati yako kwa mara ya pili.

Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye shule/kituo chochote kinachoandikisha wanafunzi wa kujitegemea/pc ili upewe namba rejea ambazo kila kituo hupewa na baraza la mitihani.

Kwa kawaida namba hizi huwa bure kwa mujibu wa baraza , lakini andaa elfu 30 mpaka 50 kwa ajili ya kuilipia kwa jina ya gharama ya kituo husika, lazima utatakiwa kulipia gharama hizi katika shule/kituo husika.

Ukipata ref namba unakwenda nayo mara nyingi posta ya karibu wana dirisha linalohusika na ulipiaji wa mitihani kwa wanaorudia.

Gharama za hapo huwa 65 kwa maana ya mtihani elfu 50 na gharama za posta wao huchukua 15.

Posta watakachohitaji; namba yako ya mtihani uliyofanyia awali mfano s4554/6766/2017, kituo unachofanyia, sanduku lao la barua, email kama unayo na masomo unayorudia.

Ukiwapa ndani ya dakika 5 wanaingiza taarifa hizo na kukupatia karatasi yako ya usijali. Unaweza kuitoa kopi ukapeleka kwenye shule/kituo husika kwa rejea ya baadae.

Hapo unakua umemaliza jukumu lako na namba yako ya mtihani husika itatumwa kwenye kituo chako mwezi mmoja kabla ya siku ya mtihani. Utaenda kuichukua kwa mkuu wa shule/kituo katika muda huo tayari kwa kuanza mapambano mapya.

NB: wanaorudia mitihani hawana continuous assessment mana wao sio wanafunzi endelevu wa shule. Unajisome binafsi au baadhi ya shule/vituo hufundisha kwa mfumo wa tuition. Lakini hata kama utakua darassni na kufundishwa hutakua na alama endelevu, wewe unapambana na paper ya necta tu.

Faida yake, huvai uniform siku ya kwenda kwenye mtihani wa necta. Unatupia chchote kwa mujibu wa tamaduni za Mtanzania unazama mahakamani.

ANGALIZO: Katika kila mtihani kumbuka kubeba ile karatasi yako yenye namba ya mtihani utakayoipata toka kwa mkuu wa shule/kituo mana ndio kitambulisho chako.

Ingawa wasimamizi wanakua na sheet
nyininge toka necta yenye majina na picha zote za watahiniwa, ila nawe ni lazima kuwa na barua yako. Usijaribu kudanganya wana data zote za watahiniwa wa kituo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu
 
Kurudia mtihani wa form four ni mambo ya zamani sana,aanze chuo certificate hadi degree humo katikati hana akiwa na diploma anaweza pata kazi kabla ya degree pia hata kama ana zero form four kuna foundation kozi aanzie hapo
 
Hakuna ukomo wa kurudia yaan huyu ana miaka minne sita au saba toka amemaliza kidato cha nne
 
Simpo tu mkuu, kurudia mtihani maana yake ulishafanya na unataka kujaribu bahati yako kwa mara ya pili.

Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye shule/kituo chochote kinachoandikisha wanafunzi wa kujitegemea/pc ili upewe namba rejea ambazo kila kituo hupewa na baraza la mitihani.

Kwa kawaida namba hizi huwa bure kwa mujibu wa baraza , lakini andaa elfu 30 mpaka 50 kwa ajili ya kuilipia kwa jina ya gharama ya kituo husika, lazima utatakiwa kulipia gharama hizi katika shule/kituo husika.

Ukipata ref namba unakwenda nayo mara nyingi posta ya karibu wana dirisha linalohusika na ulipiaji wa mitihani kwa wanaorudia.

Gharama za hapo huwa 65 kwa maana ya mtihani elfu 50 na gharama za posta wao huchukua 15.

Posta watakachohitaji; namba yako ya mtihani uliyofanyia awali mfano s4554/6766/2017, kituo unachofanyia, sanduku lao la barua, email kama unayo na masomo unayorudia.

Ukiwapa ndani ya dakika 5 wanaingiza taarifa hizo na kukupatia karatasi yako ya usijali. Unaweza kuitoa kopi ukapeleka kwenye shule/kituo husika kwa rejea ya baadae.

Hapo unakua umemaliza jukumu lako na namba yako ya mtihani husika itatumwa kwenye kituo chako mwezi mmoja kabla ya siku ya mtihani. Utaenda kuichukua kwa mkuu wa shule/kituo katika muda huo tayari kwa kuanza mapambano mapya.

NB: wanaorudia mitihani hawana continuous assessment mana wao sio wanafunzi endelevu wa shule. Unajisomea binafsi au baadhi ya shule/vituo hufundisha kwa mfumo wa tuition. Lakini hata kama utakua darasani na kufundishwa hutakua na alama endelevu, wewe unapambana na paper ya necta tu.

Faida yake, huvai uniform siku ya kwenda kwenye mtihani wa necta. Unatupia chchote kwa mujibu wa tamaduni za Mtanzania unazama mahakamani.

ANGALIZO: Katika kila mtihani kumbuka kubeba ile karatasi yako yenye namba ya mtihani utakayoipata toka kwa mkuu wa shule/kituo mana ndio kitambulisho chako.

Ingawa wasimamizi wanakua na sheet
nyininge toka necta yenye majina na picha zote za watahiniwa, ila nawe ni lazima kuwa na barua yako. Usijaribu kudanganya wana data zote za watahiniwa wa kituo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemjibu ipasavyo
 
Hivi mfano mtu alipata dv4 pt 27 akarisiti akagonga 0, si maana yake huyu anakuwa ameshuka daraja kwamba hata cheti cha kwanza hakitambuliki!
 
Hivi mfano mtu alipata dv4 pt 27 akarisiti akagonga 0, si maana yake huyu anakuwa ameshuka daraja kwamba hata cheti cha kwanza hakitambuliki!
Hamna Mkuu ,
Vyeti vyote vinatambulika ndo hasa lengo la kurudia mtihani. Ili kutafta kilicho Bora hila ukikosa unakausha tu
 
Back
Top Bottom