Naam, nimeitikia wito.Kama anazungukwa na maji anapumuaje?
Maana tunapofanya Ultrasound these days tunasikia mpaka mapigo ya moyo kwa sauti ya juu, moyo unapiga vipi kama havuti pumzi?
Anapumua vipi kama amezungukwa na maji?
Kingine wale walioishawahi kubeba Mimba (wanawake) wanaelewa kwamba kuna miezi ikifika unaweza kuzungumza na kiumbe wako aliyepo tumboni na akarespond (kushika Tumbo kwa mkono wa kuume na kuongea)
Hii yote inawezekana vipi?
Jurjani