Kama wazee wanapima vijana kwa kipimo walichopimiwa wao then kiwango kimeshuka, kama vijana wanaopata elimu wanaona wenyewe kuwa inawasaidia then hakijashuka.
Japo si mzee wala kijana najua kuwa watu wanakuwa wabinafsi zaidi kadiri siku zinavyoendelea. Asipotokea mtu wa kureverse hii (hopefully JK) tunaishia pabaya very soon.
Tatizo la elimu kama lipo kwa nini halishughulikiwi? Ina maana hakuna wataalamu? Mbona kila siku wanasomeshwa?
Tunasomesha wataalamu wengi sana hatutakiwi kuwa na sector isiyokuwa na wataalamu WA KUSOLVE PROBLEMS. Sio kuandika mada.
Ni aibu kuzuzungumzia hili jambo miaka nenda rudi.
Let us do it, find a solution and stick to it.
Kuna viwatu vya kutowa kama sendeka lusinde basi
siungi mkono hoja yako mleta mada. bunge lisivunjwe hadi tushuhudie ngumi zikitembea mjengoni. siku hiyo imekaribia sana
Naitamanije siku hiyo...!!siungi mkono hoja yako mleta mada. bunge lisivunjwe hadi tushuhudie ngumi zikitembea mjengoni. siku hiyo imekaribia sana
Naitamanije siku hiyo...!!
Mh Mwenyekiti wa muda wa bunge la katiba,nikiwa kama mjumbe wa bunge la katiba kupitia Jamii Forums,naomba kutoa hoja kwamba BUNGE LA KATIBA LIVUNJWE na Mh Rais atoe ridhaa kwa wananchi kuipigia kura rasimu hii ya pili ya katiba.
kwani inavyo onekana sasa kupitia bunge hili la katiba hatutaweza kupata kile tulichokuwa tukikitaraji.
Mh Mwenyekiti Naomba kutoa Hoja.
Mh mtoa hoja, kuvunjwa haitatutendea haki wananchi bali kitu kinachotakiwa Bwana Pandu atumie madaraka alopewa kuwaadhibu wote wasiofuata utaratibu. Pia atoe nafasi hata kwa wajumbe wengine waongee sio kila siku ni Sendeka na wenzake. Cha msingi ajue kuwatumia wajumbe wote 600 na ushee waliopo bungeni.