Naomba kurogwa

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,430
17,055
Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.

Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.

Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.

Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
 
Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.

Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.

Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.

Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.

Utasubiri sana! Ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.

Mie mwenyewe hapa nilipo bado nasubiri kurogwa toka nitoe ofa humu ndani kwa yeyote aliye mchawi aniroge na ni miaka sasa ishapita na hamna lolote.

Sasasana utachokipata ni vitisho hewa tu.

Uchawi ni dhana ya kufikirika. Kiuhalisia haupo.
 
Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.

Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.

Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.

Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
Unahitaji kurogwa?
Naomba mambo yafuatayo toka kwako:
Jina la babu yako kizaa baba
Majina yako mawili tu.
Kama unajibu la kienyeji naomba pia jina lako la kienyeji.
 
Njoo pm nitumie majina yako halisi matatu na la mama yako ikishindikana siingii jf tena

Acha kusema hivyo hayajakukuta ya dunia
Chezea babu ww
Mkuu umenikumbusha kitu, kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba mchawi hawezi kukuroga bila kujua jina la mama yako kumbe ina ukwel ndani yake?
 
Unahitaji kurogwa?
Naomba mambo yafuatayo toka kwako:
Jina la babu yako kizaa baba
Majina yako mawili tu.
Kama unajibu la kienyeji naomba pia jina lako la kienyeji.
Naitwa John Nyambega Maki.

Haya kazi kwako. ukitaka na mengine kama umri nakupa, nina miaka 28 januari 31 natimiza 29, ni mfanyakazi wa shirika la serikali,mama anaitwa Ester. Tuko watano kwetu,two ladies 3 gents.

Mengine sasa utayajua mwenyewe maana majini yako yatakwqmbia kila kitu ingawa nimeyasaidia /nimeyarahisishia kazi maan yalitakiwa kukuambia kila kitu bila hata mm kukuambia
 
Utasubiri sana! Ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.

Mie mwenyewe hapa nilipo bado nasubiri kurogwa toka nitoe ofa humu ndani kwa yeyote aliye mchawi aniroge na ni miaka sasa ishapita na hamna lolote.

Sasasana utachokipata ni vitisho hewa tu.

Uchawi ni dhana ya kufikirika. Kiuhalisia haupo.
Nyani Ngabu naomba yafuatayo toka kwako:
Kama ww ni mwanaume(naamini wew ni Me).
Naomba majina yako mawili ba jina la ukoo wa babu yako
 
Back
Top Bottom