Wapendwa Chit-Chatters mabibi na mabwana! Habari zenyu bhana. Nachukua fursa hii kuwaomba kura zenyu wote na sitataja majina yenu ila kila mmoja kwa chansi yake nawaombeni jamani. Hata moderators naombeni kura zenu. LUV YU OLL.
Wapendwa Chit-Chatters mabibi na mabwana! Habari zenyu bhana. Nachukua fursa hii kuwaomba kura zenyu wote na sitataja majina yenu ila kila mmoja kwa chansi yake nawaombeni jamani. Hata moderators naombeni kura zenu. LUV YU OLL.
dah hapatoshi.
X dad sema tu taratibu aziniruhusu ningepiga kura kwa my X love wangu Madame B
Wapendwa Chit-Chatters mabibi na mabwana! Habari zenyu bhana. Nachukua fursa hii kuwaomba kura zenyu wote na sitataja majina yenu ila kila mmoja kwa chansi yake nawaombeni jamani. Hata moderators naombeni kura zenu. LUV YU OLL.
hOMMIE Arushaone kura ya kwa ajili gani?