Hii si inajulikana jamaniNimesoma post zote , sijaona pahali 200k + imehusika ....
....au we all don't know untill we know?
Naomba nielezee hii kidogo.
Bado kidogo. Nasubiri kuona wachangiaji wakitoa ya moyoni kuhusu changamoto za pale Uhamiaji ili na Mimi nijipangeNatumae mleta mada umepata muongozo...
UPDATES!
Submitting Invitation letter is Inevitable!
Nashindwa kuelewa kwenye hilo kwa kweli. Natafuta pesa kwa jasho , sasa nataka nitembee (nitalii) nchi zingine kwa pesa zangu (kufurahia Matunda ya jasho langu) unanizuia kwasababu sina mtu alienialika!!
Hawa wazungu wanaokuja kwetu wanapewaga mialiko!!
Sasa kazi ya tour guide ni nini ?!!
Nchi inataka kupanua wigo Wa utalii (yaani ipate wageni wengi) halafu inazuia wananchi wake kwenda kwenye nchi za kigeni. Halafu mnataka mahusiano mazuri na nchi nyingine!! Nonsense!!
Maxence Melo JamiiForums Tu naomba mfikishe hii kero yetu kwa Rais Mama Samia .
Kuna mambo ya ajabu sana pale Uhamiaji!!
Kingine ni kuwa watumishi Wa kike sio watu kabisa?! Hawana utu, heshima! Wanaongea kwa kufoka foka! Kutoa maelekezo vizuri hawawezi kabisa!
Mfano, unaweza kua hujakamilisha vitu kadhaa. Sasa badala akuambie vyote ,yeye atakuambia kimojakimoja. Yaan naenda kafuate kitu Fulani, ukirudi atakuambia tena fuata na kitu Fulani ! As if wananchi wrote wanakaa kurasirini!
Watumishi Wa UHAMIAJI (IMMIGRATION) mnatutesa jamani. Ninyi ni Wakoloni weusi! Mnatreat watu kama vile ninyi sio wananchi Wa Tanzania.
Daaah Nimeumia sana! Nenda rudi naenda rudi.
Mungu hatowaacha salama!
Naomba Mama Samia alione hili. Watumishi wajaribu kuvaa viatu vyetu wataelewa.Wahamiaji wana ushamba flan hivi sijui wanajua hizo passport ndo ticket za kwenda mbinguni. Kwanza kupata hiyo Passport haimaanishi ndo utakua Free kusafir Dunia nzima, kuna nchi ambazo utanyimwa visa , yani mijitu Ina roho mbaya kama michawi, na hapo tena unalipia sio kwamba unapewa bure na bado tu watakusumbua kupata
Neno "UNA" limefanya hili swali lako kuwa gumu sana.Kwaiyo kama una namba ya namba ya NIDA, huwezi kupata hiyoo passport....
Pole sana I wish ningeona Thread yako mapema!! Mimi nilipata E-Passport kwa kusema naenda KENYA harusini na wala hawakuhitaji Invitation Letter!! Ndugu zangu wote wameandika Wanaenda KENYA na kufanikiwa kupata Passport Pia. Vipi wewe ulifanikiwa kupata Passport??UPDATES!
Submitting Invitation letter is Inevitable!
Nashindwa kuelewa kwenye hilo kwa kweli. Natafuta pesa kwa jasho , sasa nataka nitembee (nitalii) nchi zingine kwa pesa zangu (kufurahia Matunda ya jasho langu) unanizuia kwasababu sina mtu alienialika!!
Hawa wazungu wanaokuja kwetu wanapewaga mialiko!!
Sasa kazi ya tour guide ni nini ?!!
Nchi inataka kupanua wigo Wa utalii (yaani ipate wageni wengi) halafu inazuia wananchi wake kwenda kwenye nchi za kigeni. Halafu mnataka mahusiano mazuri na nchi nyingine!! Nonsense!!
Maxence Melo JamiiForums Tu naomba mfikishe hii kero yetu kwa Rais Mama Samia .
Kuna mambo ya ajabu sana pale Uhamiaji!!
Kingine ni kuwa watumishi Wa kike sio watu kabisa?! Hawana utu, heshima! Wanaongea kwa kufoka foka! Kutoa maelekezo vizuri hawawezi kabisa!
Mfano, unaweza kua hujakamilisha vitu kadhaa. Sasa badala akuambie vyote ,yeye atakuambia kimojakimoja. Yaan naenda kafuate kitu Fulani, ukirudi atakuambia tena fuata na kitu Fulani ! As if wananchi wrote wanakaa kurasirini!
Watumishi Wa UHAMIAJI (IMMIGRATION) mnatutesa jamani. Ninyi ni Wakoloni weusi! Mnatreat watu kama vile ninyi sio wananchi Wa Tanzania.
Daaah Nimeumia sana! Nenda rudi naenda rudi.
Mungu hatowaacha salama!
Means mm sijapata kitambulisho cha NIDA, ila nina namba ya NIDA, Naweza kupata hiyo passport ya kusafiria.....Neno "UNA" limefanya hili swali lako kuwa gumu sana.
Nimepata mbinu, na mm nitawaambia naenda Kenya kwenye harusi...Pole sana I wish ningeona Thread yako mapema!! Mimi nilipata E-Passport kwa kusema naenda KENYA harusini na wala hawakuhitaji Invitation Letter!! Ndugu zangu wote wameandika Wanaenda KENYA na kufanikiwa kupata Passport Pia. Vipi wewe ulifanikiwa kupata Passport??
Mkuu unataka kutukimbia!?Means mm sijapata kitambulisho cha NIDA, ila nina namba ya NIDA, Naweza kupata hiyo passport ya kusafiria.....
Hamna me naitaka tu niwe nayo ndani kama kitambulisho changu.....Mkuu unataka kutukimbia!?
Ndio unaweza kupata.Means mm sijapata kitambulisho cha NIDA, ila nina namba ya NIDA, Naweza kupata hiyo passport ya kusafiria.....