BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,313
Habarini!
Kama kichwa cha habari kinavyojitambulisha kwenu business minded people, nimevutiwa na hii opportunity ama idea ya kua big distributor wa bia( kama sio nchini basi nje ya nchi).
Naomba kupata mtu ambaye ana weledi wa kutosha, aliyechangamka, anayejua Ku close deals, kufanya negotiations, anayejua chobingo zote katika hii biashara na pia atakayeweza kuandaa business plans kuanzia mwanzo hadi mwisho, mtaji wa kuanza nao, yanayohitajika, numbers, profit ipatikanaje, operations zitaendaje, confident person, ambaye anaweza Ku argue, kutoa point zilizoshiba, ambaye anaweza kutengeneza a win - win deal baina ya pande mbili.
Hutafanya haya bure, % yako ipo na itakua kisheria na proper documents zitakuwepo. Mtaji sio ishu sana.
Ikipendeza nipate mwanadada, ila akipatikana mwanaume sio mbaya, nimeenda tu na kanuni ya "ladies first", na pia mwanamke amepewa uwezo mkubwa sana, hata vitabu vitakatifu vina view hilo jambo, anyway ni fursa kwa wote.
Karibu sana.
NB: usijaribu Ku beep hii fursa unaweza kuumbuka, hii fursa ndani yake kutakua na kukutana kwingi na wadau wazito wa makampuni ya bia n.k, sasa usije tu inbox kwangu kunijaribu. Njoo kama unajiamini unaweza kufanya nachohitaji. At the end we will all benefit.
Kama kichwa cha habari kinavyojitambulisha kwenu business minded people, nimevutiwa na hii opportunity ama idea ya kua big distributor wa bia( kama sio nchini basi nje ya nchi).
Naomba kupata mtu ambaye ana weledi wa kutosha, aliyechangamka, anayejua Ku close deals, kufanya negotiations, anayejua chobingo zote katika hii biashara na pia atakayeweza kuandaa business plans kuanzia mwanzo hadi mwisho, mtaji wa kuanza nao, yanayohitajika, numbers, profit ipatikanaje, operations zitaendaje, confident person, ambaye anaweza Ku argue, kutoa point zilizoshiba, ambaye anaweza kutengeneza a win - win deal baina ya pande mbili.
Hutafanya haya bure, % yako ipo na itakua kisheria na proper documents zitakuwepo. Mtaji sio ishu sana.
Ikipendeza nipate mwanadada, ila akipatikana mwanaume sio mbaya, nimeenda tu na kanuni ya "ladies first", na pia mwanamke amepewa uwezo mkubwa sana, hata vitabu vitakatifu vina view hilo jambo, anyway ni fursa kwa wote.
Karibu sana.
NB: usijaribu Ku beep hii fursa unaweza kuumbuka, hii fursa ndani yake kutakua na kukutana kwingi na wadau wazito wa makampuni ya bia n.k, sasa usije tu inbox kwangu kunijaribu. Njoo kama unajiamini unaweza kufanya nachohitaji. At the end we will all benefit.