Enzi za wana wa Israeli watu walikuwa wakitenda dhambi wanachukua kondoo safi na kupeleka kwa kuhani wanatubu dhambi zao then kondoo anachinjwa moto kutoka juu unashuka na kuiteketeza hii huashiria sadaka yako imepokeleqa na dhambi zimesameheka
Mtu alikuwa akitenda dhambi ya hadharani esp uzinzi basi hakukuwa na toba alikuwa anaadhibiwa pale pale kwa kupigwa na mawe mpk kufa
Yesu alipokuja duniani tukio kama hilo lilitokea(aliletwa mwanamke mzinzi aliyetenda hadharan na wakamshika na kumpeleka kwa Yesu ili kumpima na Yesu alichora chini kisha akawaamuru asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga mawe yule mwanamke< inasemekana pale chini kila mtu aliposoma aliona dhambi yake imeandikwa we are not sure yet> basi wote wakatawanyika na yule mama akasamehewa dhambi zake)
Yesu alipokuwa msalabani kuna kondoo wa sadaka alikuwa achinjwe but pazia likapasuka na kondoo akakimbia(wakristu tunaichukulia kama ilikuwa ndio mwisho wa kutoa sadaka ya dam ili kusamehewa dhambo zetu kwa sababu dam ya Yesu ilimwagika pale msalabani)
Baada ya ujio wa Yesu Ukristo ukazaliwa na ukawa completely tofaut na Waislaer wa zaman( tukapewa uhuru wa kutubu direct kwa Mungu kupitia Yesu kristo)
Nakuja kwenye point sasa :- Kama yesu alisema asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga yulewanamke na wote wakaondoka maana wote walijua ni wadhambi inaluwaje bado wasabato tunashikilia ule ujinga wa dhambi ya hadharani mti anaadhibiwa hdharani?( ikitokea umezini na ikajulikana basi unafutwa ushirika)
Iv naomba niulize Yesu si alituunganisha na Mungi direct? Kama nimetenda dhambi si napaswa kutubu kwa Mungu wangu? Why wanadam mnasimama sehem ya Mungu na kuhukum? Je nyie mnaomfuta mtu ushirika mnakuwa hamna dhambi? Mnakuwa watakatifu? Kuna tifaut gan kati ya kumfuta mtu ushirika na wale waliokuwa wanapiga mawe?
Wasabato kuna ujinga ukipatwa na dhambi ya hadharan(wamebase kwenye uzinzi tu) unafutwa ushirika na unapaswa ubatizwe tena
Iv kwenye Biblia nan alibatizwa mara ya pili? Iv nikikosea napaswa nitubu kwa Mungu au kwenu? Maana kuniambia nibatizwe tena manake hapo nawaonesha nyie kuwa nimekosea nisameheni nibatize nirud kundini why nyie? Na sio Mungu?
Mimi naona ni makosa makubwa sana kumfuta ushirika mtu kosa ametenda dhambi ya wazi haina tofaut na walivyokuwa wanapiga mawe
Sasa Yesu alikuja wa nini kama bado watu wanahukum?
Mimi ni msabato niliyezaliwa kwenye dini tangu mababu huko na nimekuwa kwenyw misingi kabisa ya dini ila kwenyw hili swala nimepingana na kanisa maana pale kanisan nikiwaangalia sion mtakatifu wote sisi ni wadhambi ni rehema tu ya Mungu iko nasi sasa why tuwe wa kwanza kuhukum wenzetu wakat tumwzuiwa kuhukumu?
Mtu anakukalia koon kisa umefumwa unazim wakat yeye ana michepuko kibao
Mimi 2008 nilikuwa kwenye baraza la kanisa mahali flan huko Mkoa wa Mara jamaa mmoja akaoa sogea tukae wakaita baraza kumfukuza
Aisee niliwacharura sababu wale wazee wote nilikuwa najua michepuko yao" ambaye anajua sijui maovu yake amfute ushirika huyu mtu au ambaye ana mstari wa kwenye biblia unaosema watu wafunge ndoa ya cheti kwa vuongozi wa dini atoe hapa" tulisumbuama but atlast nilishinda na jamaa hakufutwa ushirika na maisha yakaendelea
My advice( em tuache kuwa mahakimu wakat sisi wenyewe si wakamilifu pls)
Mtu akitenda dhambi iwe ya hadharan au ya kujificha mwachen amalizane na Mungi wake mwenywwe
Mtu alikuwa akitenda dhambi ya hadharani esp uzinzi basi hakukuwa na toba alikuwa anaadhibiwa pale pale kwa kupigwa na mawe mpk kufa
Yesu alipokuja duniani tukio kama hilo lilitokea(aliletwa mwanamke mzinzi aliyetenda hadharan na wakamshika na kumpeleka kwa Yesu ili kumpima na Yesu alichora chini kisha akawaamuru asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga mawe yule mwanamke< inasemekana pale chini kila mtu aliposoma aliona dhambi yake imeandikwa we are not sure yet> basi wote wakatawanyika na yule mama akasamehewa dhambi zake)
Yesu alipokuwa msalabani kuna kondoo wa sadaka alikuwa achinjwe but pazia likapasuka na kondoo akakimbia(wakristu tunaichukulia kama ilikuwa ndio mwisho wa kutoa sadaka ya dam ili kusamehewa dhambo zetu kwa sababu dam ya Yesu ilimwagika pale msalabani)
Baada ya ujio wa Yesu Ukristo ukazaliwa na ukawa completely tofaut na Waislaer wa zaman( tukapewa uhuru wa kutubu direct kwa Mungu kupitia Yesu kristo)
Nakuja kwenye point sasa :- Kama yesu alisema asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga yulewanamke na wote wakaondoka maana wote walijua ni wadhambi inaluwaje bado wasabato tunashikilia ule ujinga wa dhambi ya hadharani mti anaadhibiwa hdharani?( ikitokea umezini na ikajulikana basi unafutwa ushirika)
Iv naomba niulize Yesu si alituunganisha na Mungi direct? Kama nimetenda dhambi si napaswa kutubu kwa Mungu wangu? Why wanadam mnasimama sehem ya Mungu na kuhukum? Je nyie mnaomfuta mtu ushirika mnakuwa hamna dhambi? Mnakuwa watakatifu? Kuna tifaut gan kati ya kumfuta mtu ushirika na wale waliokuwa wanapiga mawe?
Wasabato kuna ujinga ukipatwa na dhambi ya hadharan(wamebase kwenye uzinzi tu) unafutwa ushirika na unapaswa ubatizwe tena
Iv kwenye Biblia nan alibatizwa mara ya pili? Iv nikikosea napaswa nitubu kwa Mungu au kwenu? Maana kuniambia nibatizwe tena manake hapo nawaonesha nyie kuwa nimekosea nisameheni nibatize nirud kundini why nyie? Na sio Mungu?
Mimi naona ni makosa makubwa sana kumfuta ushirika mtu kosa ametenda dhambi ya wazi haina tofaut na walivyokuwa wanapiga mawe
Sasa Yesu alikuja wa nini kama bado watu wanahukum?
Mimi ni msabato niliyezaliwa kwenye dini tangu mababu huko na nimekuwa kwenyw misingi kabisa ya dini ila kwenyw hili swala nimepingana na kanisa maana pale kanisan nikiwaangalia sion mtakatifu wote sisi ni wadhambi ni rehema tu ya Mungu iko nasi sasa why tuwe wa kwanza kuhukum wenzetu wakat tumwzuiwa kuhukumu?
Mtu anakukalia koon kisa umefumwa unazim wakat yeye ana michepuko kibao
Mimi 2008 nilikuwa kwenye baraza la kanisa mahali flan huko Mkoa wa Mara jamaa mmoja akaoa sogea tukae wakaita baraza kumfukuza
Aisee niliwacharura sababu wale wazee wote nilikuwa najua michepuko yao" ambaye anajua sijui maovu yake amfute ushirika huyu mtu au ambaye ana mstari wa kwenye biblia unaosema watu wafunge ndoa ya cheti kwa vuongozi wa dini atoe hapa" tulisumbuama but atlast nilishinda na jamaa hakufutwa ushirika na maisha yakaendelea
My advice( em tuache kuwa mahakimu wakat sisi wenyewe si wakamilifu pls)
Mtu akitenda dhambi iwe ya hadharan au ya kujificha mwachen amalizane na Mungi wake mwenywwe