Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,204
Amani iwe nanyi..
Nawaombeni radhi kama ntakuwa nimewakwazaa.
Wanawake wenzangu.mimi ni msichana na huwa nina marafiki wengi sana wakiume.
Marafiki wa kike sina mazoea nao saana.coz hawawezi kukisaidia plus wivu hata kitu kidogo tu.
Katika marafiki zangu wengi ambao ninao wakiume 95% huwa wanasema wake zao ndo chanzo cha kumfanya mwanaume awe na mchepuko ,mmoja au zaidi..
Sanasana mmoja,Mwanaume akiwa na wanawake wengi nae ni malaya tuhuuu🙈🙈..
Wanawake wenzangu tulioolewa tunakwama wapi jomoni...
Embu tuache midomo isiyo na faida kwa wanaume zetu bana.
Mimi nimeacha baada ya kuchepukiwa😣
Nimejifunza ustaarabu mpaka anashangaa huyu mwanamke kulikoni...nilipogundua anamchepuko sijamuuliza ,sijagombana nae,japo alijua nimejua,,
Niliamua kumrudisha mume wangu kwa vitendo tu.mahaba kama yoteee..
Sasa mchepuko unalalamika baby hamjali...
Wanawake acheni midomo..tuwapeti waume zetu.
Wanaume ni kama watoto vile jitahidi kumjali na kumsuprise na mahaba motomoto kila siku...natamani niyaandike hata mahaba yenyewe hapa ya chumbani ninayompa, mpaka anatoa mimacho tuh🙄. ..🙈🙈 jokes.
Pulus vimaneno hata kama humpendi ,jitahidi hivyohivyo ili asichepuke...
Baby,sweet,love,mahabuba nk..
Mwanaume unamwita nyongo mkalia ini inahusu....
Mimi baby wangu sasa kabadilika .akitoka kazini brek ya kwanza nyumbani.... Japo niliumia ila nilijua tatizo ni mimi.
Sasa wewe jifanye unamdomo ,
Na wanandoa wana kawaida ya kuchokana, wanaume wanakawaida ya kukomoa,
Kama hujaletewa mke wa.pili japo kanisa haliruhusu......... Kazi kwako🤦
Pia msijibweteke tafuteni kitu cha kufanya maana wanakawaida ya manyanyaso wanae
Mapovu ruhsa
Nawaombeni radhi kama ntakuwa nimewakwazaa.
Wanawake wenzangu.mimi ni msichana na huwa nina marafiki wengi sana wakiume.
Marafiki wa kike sina mazoea nao saana.coz hawawezi kukisaidia plus wivu hata kitu kidogo tu.
Katika marafiki zangu wengi ambao ninao wakiume 95% huwa wanasema wake zao ndo chanzo cha kumfanya mwanaume awe na mchepuko ,mmoja au zaidi..
Sanasana mmoja,Mwanaume akiwa na wanawake wengi nae ni malaya tuhuuu🙈🙈..
Wanawake wenzangu tulioolewa tunakwama wapi jomoni...
Embu tuache midomo isiyo na faida kwa wanaume zetu bana.
Mimi nimeacha baada ya kuchepukiwa😣
Nimejifunza ustaarabu mpaka anashangaa huyu mwanamke kulikoni...nilipogundua anamchepuko sijamuuliza ,sijagombana nae,japo alijua nimejua,,
Niliamua kumrudisha mume wangu kwa vitendo tu.mahaba kama yoteee..
Sasa mchepuko unalalamika baby hamjali...
Wanawake acheni midomo..tuwapeti waume zetu.
Wanaume ni kama watoto vile jitahidi kumjali na kumsuprise na mahaba motomoto kila siku...natamani niyaandike hata mahaba yenyewe hapa ya chumbani ninayompa, mpaka anatoa mimacho tuh🙄. ..🙈🙈 jokes.
Pulus vimaneno hata kama humpendi ,jitahidi hivyohivyo ili asichepuke...
Baby,sweet,love,mahabuba nk..
Mwanaume unamwita nyongo mkalia ini inahusu....
Mimi baby wangu sasa kabadilika .akitoka kazini brek ya kwanza nyumbani.... Japo niliumia ila nilijua tatizo ni mimi.
Sasa wewe jifanye unamdomo ,
Na wanandoa wana kawaida ya kuchokana, wanaume wanakawaida ya kukomoa,
Kama hujaletewa mke wa.pili japo kanisa haliruhusu......... Kazi kwako🤦
Pia msijibweteke tafuteni kitu cha kufanya maana wanakawaida ya manyanyaso wanae
Mapovu ruhsa