Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ni nani Mwenyekiti /Kiongozi wa Wakuu wote wa Mikoa na kama yupo alipatikanaje na wapi?
Na vipi kuhusu nguvu yake kisiasa na kiuongozi ndani ya Serikali?
Ana ulinzi mkubwa uliotukuka na benefits zingine zingine au ni kama maRC wengnine tu wa huko Mikoani?
Naomba kumjua huyo boss wa maRC.
Mbarikiwe.
Na vipi kuhusu nguvu yake kisiasa na kiuongozi ndani ya Serikali?
Ana ulinzi mkubwa uliotukuka na benefits zingine zingine au ni kama maRC wengnine tu wa huko Mikoani?
Naomba kumjua huyo boss wa maRC.
Mbarikiwe.