Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,917
- 23,236
Wakuu heri ziwe kwenu
Niseme tu mimi ni mkristo mkamilifu na asie na shaka nao.
Lakini huwa napenda kusikiliza kwa wengine wanayoyafundusha. Bahati nikamsikia shehe akiifafanua quruan kwa ufasaha japo siijui lakini vile anavyofundisha inavutia mtu kusikiliza na kuelewa.
Kipindi kinaitwa tafsiri ya quruan, kinarushwa saa 3 asubuhi na saa 4 usiku, redio imaan .
Ningependa kumjua tuu kwa anaemjua na si kwa lingine bali kuongeza tuu maarifa.
Kila la heri kwenu nyoote.
Niseme tu mimi ni mkristo mkamilifu na asie na shaka nao.
Lakini huwa napenda kusikiliza kwa wengine wanayoyafundusha. Bahati nikamsikia shehe akiifafanua quruan kwa ufasaha japo siijui lakini vile anavyofundisha inavutia mtu kusikiliza na kuelewa.
Kipindi kinaitwa tafsiri ya quruan, kinarushwa saa 3 asubuhi na saa 4 usiku, redio imaan .
Ningependa kumjua tuu kwa anaemjua na si kwa lingine bali kuongeza tuu maarifa.
Kila la heri kwenu nyoote.