Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,315
- 5,920
Thread ikiishia hapa mtoa mada..
Kizazi cha dot com watakuja na vituko vyao..
But PELE ndo master forever..!!!
Ulimuona akicheza?
Thread ikiishia hapa mtoa mada..
Kizazi cha dot com watakuja na vituko vyao..
But PELE ndo master forever..!!!
Ah ah ah.. ndio mkuu..Ulimuona akicheza?
Ah ah ah.. ndio mkuu..
Mbona yeye juzi juzi tu, kulkua na mastaa wa nyuma zaidi yake ila hawakumfikia yeye,km alfredo di stephano na mzee mwenzangu Ferenc Puskas,chanzo cha fifa puskas awards
Kuna hii pia
Usirudie kuongea huo upuuzi tena..Huyo level za kina Neymar
Kama ni hvo basi hafai kupewa hyo sifa, mpak magoli ya offside, mara magoli yaliyofungwa kwa mkono yanaruhusiwa tuu, sa hv kuna VAR, wangecheza kipind hiki wasingefika popote hao akna pele,Nimelipenda swali hili...japokua nasikia kipindi chao kina Pelle hawkua na sheria ya offside walikua wanatia tu kamba wanavyotaka.
Swali zuri sana, majority hawajamuona akicheza, ila ni kufata mkumbo tu kwa kuangalia clip za youtube ili na yeye aonekane anamjua Pele, lakn leo hii tukichukua clip za Messi za youtube na za Pele za youtube, Pele haoni ndani, ...... Enzi za Pele ilikuwa ni kukimbia kimbia tuu,Ulimuona akicheza?
Swali zuri sana, majority hawajamuona akicheza, ila ni kufata mkumbo tu kwa kuangalia clip za youtube ili na yeye aonekane anamjua Pele, lakn leo hii tukichukua clip za Messi za youtube na za Pele za youtube, Pele haoni ndani, ...... Enzi za Pele ilikuwa ni kukimbia kimbia tuu,
Maradona. Pele ni politics za fifaWadau wafuatiliji, wataalamu na wajuzi wa masuala ya Football kwa pamoja naomba kumjua mchezaji Bora wa Mpira wa miguu wa muda wote.
Ukitoa na statics itakua vizuri zaidi.