Naomba kulifahamu kwa undani Kanisa la Orthodox

Kwa kidogo nilivyojiandaa then nikipata nafasi ya kutosha nitakujuza zaidi ni kwamba kanisa katoliki na la kiorthodox ni makanisa yenye mahusiano/uhusiano mkubwa sana. Kanisa katoliki lilianzishwa na mtume petro alipokwenda kuweka makazi yake pale Roma -Italia na kanisa la orthodox lilianzishwa na mtume Andrea ambaye makazi yake aliyaweka Ugiriki. Uhusiano uliopo kati ya Roman Katoliki na kanisa la Orthodox ni kwamba Mtume Petro na Mtume Andrea ni mtu na ndugu yake na wote ni mitume wa Yesu Kristo na kusambaa kwao ni katika jitihada za kumtangaza Yesu Kristo.
Nikikumbuka nitakuwekea chanzo/source.
Bro unajua Orthodox mwezi wao una siku 15...na ndo maana wana celebrate christmass mwez wa sita??..fuatilia..si ndo apo mjini wapo pale jirani na Redcross?
 
Ndo kanisa la mwanzo kabisa lilianza mwaka 33 AD siku ya pentecoste pale jerusalem,

kanisa catolic ndo lilijitenga mwaka 1004
 
Bro unajua Orthodox mwezi wao una siku 15...na ndo maana wana celebrate christmass mwez wa sita??..fuatilia..si ndo apo mjini wapo pale jirani na Redcross?
Hapana si kweli..Orthodox wanasheherekea Xmas yao tar 7january..na Easter yao niwiki moja baada ya Roman catholic easter...na makanisa ya orthodox yamejaa sana nchi za ulaya mashariki
 
Hapana si kweli..Orthodox wanasheherekea Xmas yao tar 7january..na Easter yao niwiki moja baada ya Roman catholic easter...na makanisa ya orthodox yamejaa sana nchi za ulaya mashariki
Aise kwenye issue ya ku prove kwangu ndo umefika. Uwa si post kitu nisichokifahamu..labda kama pana changes. Ila kama upo Dar mimi nafika dar jpili asubuh naomba twende pale kanisani kwao yupaye majibu kamaili...Make mimi my cousin bro alishawah wauliza why mnatulipa mshahara ndani ya siiku 30 ila imani yenu ni siku 15? Majibu ninayo..itabid na wewe uyashuhudie..na ukiyataka nayapost apa..ila kwa ruhusa ya cousin coz yeye nu member wao kabisa..
 
Kwani historia yake iko VP... deeply deeper
Kanisa lilikuwa moja...Kanisa Katoliki...Ila kulikuwa na Kanisa la Mashariki na Magharibi...ila karne ya 11 kulitokeo kutofautiana kwenye mambo fulani fulani hasa kwenye mamlaka ya Papa...

Ila sasa hivi juhudi zinafanywa umoja huo urudi kama mwanzo
 
Aise kwenye issue ya ku prove kwangu ndo umefika. Uwa si post kitu nisichokifahamu..labda kama pana changes. Ila kama upo Dar mimi nafika dar jpili asubuh naomba twende pale kanisani kwao yupaye majibu kamaili...Make mimi my cousin bro alishawah wauliza why mnatulipa mshahara ndani ya siiku 30 ila imani yenu ni siku 15? Majibu ninayo..itabid na wewe uyashuhudie..na ukiyataka nayapost apa..ila kwa ruhusa ya cousin coz yeye nu member wao kabisa..
Sijajua kilichokufanya ukatae jibu sahihi la mdau hapo juu nini..?
 
Catolic=universal

baada ya bishop wa rome kutangaza universal papal supremacy,makanisa ya mashariki yalikataa kuwa chini ya pope kwani Rome ilitaka ndo iwe makao makuu ya kanisa na hivyo Rome ikajitenga
 
Catolic=universal

baada ya bishop wa rome kutangaza universal papal supremacy,makanisa ya mashariki yalikataa kuwa chini ya pope kwani Rome ilitaka ndo iwe makao makuu ya kanisa na hivyo Rome ikajitenga
 
Ni mwezi gani huo wenye siki 15....? Na ni kwa Kalenda ipi..?
Sijui kwa kweli. Na kwa kuwa sikuwa na interest nao sikufuatilia..kama unapenda kuwajua pls jpili tukutane pale kanisani.kwao Dar..opposite na Red cross jirani na AMREF.
 
Aise kwenye issue ya ku prove kwangu ndo umefika. Uwa si post kitu nisichokifahamu..labda kama pana changes. Ila kama upo Dar mimi nafika dar jpili asubuh naomba twende pale kanisani kwao yupaye majibu kamaili...Make mimi my cousin bro alishawah wauliza why mnatulipa mshahara ndani ya siiku 30 ila imani yenu ni siku 15? Majibu ninayo..itabid na wewe uyashuhudie..na ukiyataka nayapost apa..ila kwa ruhusa ya cousin coz yeye nu member wao kabisa..
Nimeishi nchi yenye wa orthodox wengi...na nimesheherekea x-mas zao kila tar 7 january na easter yao week moja baada ya Catholic easter...dec 25 kwao wao ni normal day hawaitambui
.ila tar 7 january ni public Holiday x-mas
 
Sijui kwa kweli. Na kwa kuwa sikuwa na interest nao sikufuatilia..kama unapenda kuwajua pls jpili tukutane pale kanisani.kwao Dar..opposite na Red cross jirani na AMREF.
Yani ulichokiandika ni uongo mtupu wa mchana ndio maana nikakuuliza hayo maswali
 
Bro unajua Orthodox mwezi wao una siku 15...na ndo maana wana celebrate christmass mwez wa sita??..fuatilia..si ndo apo mjini wapo pale jirani na Redcross?
Sina hakika kama umeandika kitu unachokijua, au labda umesimuliwa. Kwa akili ya kawaida tu (huhitaji hata kwenda Chuo Kikuu), kama mwezi wao ungekuwa na siku 15, inamaana katika mwaka mmoja wao wangekuwa miaka miwili (kwa kuwa siku 15 ni nusu ya mwezi wenye siku 30)! Na kama ni hivyo basi hata Christmas yao isingekuwa mwezi wa sita tu, wangesherehekeaa mara mbili kwa mwaka...

Fikiria tena ulichokiandika...
 
Back
Top Bottom