Naomba kulifahamu kwa undani Kanisa la Orthodox

Sina hakika kama umeandika kitu unachokijua, au labda umesimuliwa. Kwa akili ya kawaida tu (huhitaji hata kwenda Chuo Kikuu), kama mwezi wao ungekuwa na siku 15, inamaana katika mwaka mmoja wao wangekuwa miaka miwili (kwa kuwa siku 15 ni nusu ya mwezi wenye siku 30)! Na kama ni hivyo basi hata Christmas yao isingekuwa mwezi wa sita tu, wangesherehekeaa mara mbili kwa mwaka...

Fikiria tena ulichokiandika...
Tatizo upo serious sana...sasa akama ukija kanisani kwetu tunapobatizwa na Mwanga wa tochi si ndo utadata kabisa..
 
Sina hakika kama umeandika kitu unachokijua, au labda umesimuliwa. Kwa akili ya kawaida tu (huhitaji hata kwenda Chuo Kikuu), kama mwezi wao ungekuwa na siku 15, inamaana katika mwaka mmoja wao wangekuwa miaka miwili (kwa kuwa siku 15 ni nusu ya mwezi wenye siku 30)! Na kama ni hivyo basi hata Christmas yao isingekuwa mwezi wa sita tu, wangesherehekeaa mara mbili kwa mwaka...

Fikiria tena ulichokiandika...
Kalenda yao mwaka utakuwa na miezi 24 mpaka 30.
 
Constantinopole ndiyo iliyojitenga siyo Rome...
Kwa kuwa wao waliendelea kuamini kwenye misingi yao ya zamani na Catholic walifanya mabadiriko.
Basi Catholic ndo walijitenga na Orthodox kubakia kama kanisa la kwanza duniani
 
Kwa kuwa wao waliendelea kuamini kwenye misingi yao ya zamani na Catholic walifanya mabadiriko.
Basi Catholic ndo walijitenga na Orthodox kubakia kama kanisa la kwanza duniani
Wewe!! Hebu wacha kuropoka....Kasome tena Great Schism....

Halafu ni mabadiliko gani hayo unaongelea....? Unafahamu vitu ambavyo vilipelekea kanisa la Magharibi(Latin/catholi) kutengana na Kanisa la Mashariki(Orthodox)...?
 
Back
Top Bottom