Allelujah
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 452
- 414
Tatizo upo serious sana...sasa akama ukija kanisani kwetu tunapobatizwa na Mwanga wa tochi si ndo utadata kabisa..Sina hakika kama umeandika kitu unachokijua, au labda umesimuliwa. Kwa akili ya kawaida tu (huhitaji hata kwenda Chuo Kikuu), kama mwezi wao ungekuwa na siku 15, inamaana katika mwaka mmoja wao wangekuwa miaka miwili (kwa kuwa siku 15 ni nusu ya mwezi wenye siku 30)! Na kama ni hivyo basi hata Christmas yao isingekuwa mwezi wa sita tu, wangesherehekeaa mara mbili kwa mwaka...
Fikiria tena ulichokiandika...