kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Wasira amekuwa akimshambulia Dr silaa na vicenti nyerere kama wao ndio wagombea,anasema sioi ataleta maendeleo kama wasira anaelewa maendelleo mbona kwake hakuna? jimbo lake linapakana na ziwa victoria lakini ameshindwa kuwapatia wananchi wake maji.Sioi amazaliwa ajui shida ya maji,umeme na afya kwanza anashanga kusikia watu hawana maji wala umeme nawanaishi anastajabu kusikia kuna watu wanalala njaa,hao wanao msaidia kampeni ni kwamba wanafundisha kuelewa shida mtu amezaliwa kenya amesoma ulaya amekuja Tanzania nakupewa kazi nzuri gari, nyumba na mkee hajawahi hata kutembea kilometa 4 kwa miguu.anakuja kutuchora ataleta umeme,anajua bei ya kuvuta umeme? yeye kaona matitazo ni umeme tu hajui kuna maji afya elimu na njaa bado miundo mbinu.Huwenda wasira.sendeka na mwigulu wanampa moyo mbona mjimbo yetu hayana kitu kabisa afadhali lakwako na tunashindaga.