Naomba kukopeshwa Milioni 5 dhamana hati ya nyumba

Nachojaribu kukikwepa benki ni:
1. Mlolongo wa benki
2. Benki wanakupangia kiwango cha kukukopesha

Mkuu nauhitaji uo mkopo ndani ya wiki ijayo coz it's an emergency issue.
Kila la kheri japo kujitoa kwenye kifungo cha hiyo m5 unayoitafuta itakugharimu kweli kweli. Maneno haya utayakumbuka kwenye mwezi wa tisa kati ya hiyo 13 unayoisema.

Ikishindikana pia mshukuru Mungu huwenda unaepushwa jambo fulani kubwa na baya.
 
Kila la kheri japo kujitoa kwenye kifungo cha hiyo m5 unayoitafuta itakugharimu kweli kweli. Maneno haya utayakumbuka kwenye mwezi wa tisa kati ya hiyo 13 unayoisema.

Ikishindikana pia mshukuru Mungu huwenda unaepushwa jambo fulani kubwa na baya.
Mkuu nina biashara zangu mbili,moja ina uwezo wa kuniingizia mpaka laki 8 faida kwa mwezi ivyo uo mkopo naouomba upo ndani ya uwezo wangu kuulipa wote.
Nashukuru kwa kunialert
 
Mkuu nina biashara zangu mbili,moja ina uwezo wa kuniingizia mpaka laki 8 faida kwa mwezi ivyo uo mkopo naouomba upo ndani ya uwezo wangu kuulipa wote.
Nashukuru kwa kunialert
Mkuu umepata tayari
 
Habari za mda huu wana JF!

Nakuja kwenu tena nimekwama na bila kuomba msaada siwezi kujinasua. Nina shida ya mkopo wa haraka wa Milioni 5 dhamana yangu naweka hati ya nyumba(Napatikana Dar es Salaam).

Kuna biashara zangu mbili zinazoendesha familia yangu zimekwama. Bila kujiboost na mkopo hizi biashara zinakufa,naombeni sana sana kwa mwenye uwezo wa kunikopesha anifuate pm au kama kuna ndugu au jamaa ake anaweza fanya ivyo naomba pia anifuate PM.

Nitashukuru sana nikifanikisha jambo hili,naweka dhamana ya hati ya nyumba kuonesha huitaji thabiti wa mkopo na sipo hapa kumtapeli mtu.

Tutaandikishiana mbele ya mashahidi na wanasheria ili pande zote mbili ziwe na amani. Nikuhakikishie mkopeshaji, mkopo wako utakua sehemu salama na utalipwa ndani ya mda husika tutaokubaliana.

NB: Kuhusu riba na mda wa mrejesho wa mkopo wote tutajadiliana pamoja (mimi na mkopeshaj).

Natanguliza shukrani zangu kwenu
Mkuu jiunge kwenye vikundi.

Hii tabia ya ubinafsi, kujiona mimi ndio mimi, mimi mwamba mambo yangu napambana kivyangu hata huko Ulaya kwa mabepari hayapo.

Mimi nikupe tahadhali, Dar imejaa kina Papaa Msofeee.

Kampe mtu hati ya nyumba, halafu siku unamtafuta umpe pesa yake humuoni.

Anakukwepa mpaka siku mliyokubaliana utarejesha pesa yake inapita, na nyumba ndio unakuwa umeshaipoteza hivyo kwa hiyo 5M.

Una nyumba, una biashara unashindwa vipi kutengeneza mazingira ya kuwa mkopaji kwenye taasisi zinazoeleweka ????

Anyway, kila mtu na maisha yake.
 
Mkuu jiunge kwenye vikundi.

Hii tabia ya ubinafsi, kujiona mimi ndio mimi, mimi mwamba mambo yangu napambana kivyangu hata huko Ulaya kwa mabepari hayapo.

Mimi nikupe tahadhali, Dar imejaa kina Papaa Msofeee.

Kampe mtu hati ya nyumba, halafu siku unamtafuta umpe pesa yake humuoni.

Anakukwepa mpaka siku mliyokubaliana utarejesha pesa yake inapita, na nyumba ndio unakuwa umeshaipoteza hivyo kwa hiyo 5M.

Una nyumba, una biashara unashindwa vipi kutengeneza mazingira ya kuwa mkopaji kwenye taasisi zinazoeleweka ????

Anyway, kila mtu na maisha yake.
Japo marejesho nitakua nafanya kila mwezi kwa mkopeshaji(sielewi atanikwepaje miez yote ya marejesho) na tutaingia mkataba chini ya usimamiz wa mwanasheria wa serikali. Nashukuru kwa kunialert mkuu!
 
Back
Top Bottom