Naomba kukaribishwa wakuu hi

Karibu sana JF mjukuu wetu GT.
Acha ujinga wewe
Kwahiyo hujaona ujinga wako?
Kwa ulichokijibu hapa kutokana na utani uliotaniwa hapo juu obviously wewe siyo mgeni ni mmoja wapo wa wale member wakorofi waliokula life BAN umeamua urejee kwa I'd nyengine na bado ukiwa hujajifunza kutokana na makosa yako.

Nasisitiza hii ni wide forum siyo group la W'app la familia kwamba wote mtafanana mawazo na mitazamo humu utakutana na kila aina ya akili so ni vyema kujua jinsi ya ku-control vidole vyako kwamba kile unachokiandika hakiwakwazi wengine?je huyu uliyemwambia acha ujinga mfano ukajua kumbe ni baba yako mdogo au mjomba'ako aliyewahi kukuchangia ada kipindi unasoma utajisikiaje?

Mf:hapo juu umeomba kukaribishwa,kwanini usingemuandikia Mello PM huko akukaribishe mpaka kuja hapa jukwaani kutaka members wakukaribishe?huoni na wewe umefanya kutania watu coz sisi siyo wamiliki wa JamiiForums na hakuna aliyekutukana?
 
Kwa ulichokijibu hapa kutokana na utani uliotaniwa hapo juu obviously wewe siyo mgeni ni mmoja wapo wa wale member wakorofi waliokula life BAN umeamua urejee kwa I'd nyengine na bado ukiwa hujajifunza kutokana na makosa yako.
Nasisitiza hii ni wide forum siyo group la W'app la familia kwamba wote mtafanana mawazo na mitazamo humu utakutana na kila aina ya akili so ni vyema kujua jinsi ya ku-control vidole vyako kwamba kile unachokiandika hakiwakwazi wengine?je huyu uliyemwambia acha ujinga mfano ukajua kumbe ni baba yako mdogo au mjomba'ako aliyewahi kukuchangia ada kipindi unasoma utajisikiaje?
Mf:hapo juu umeomba kukaribishwa,kwanini usingemuandikia Mello PM huko akukaribishe mpaka kuja hapa jukwaani kutaka members wakukaribishe?huoni na wewe umefanya kutania watu coz sisi siyo wamiliki wa JamiiForums na hakuna aliyekutukana?
sawa mkuu nimekuelewa
 
Naunga mkono hoja
Kwa ulichokijibu hapa kutokana na utani uliotaniwa hapo juu obviously wewe siyo mgeni ni mmoja wapo wa wale member wakorofi waliokula life BAN umeamua urejee kwa I'd nyengine na bado ukiwa hujajifunza kutokana na makosa yako.

Nasisitiza hii ni wide forum siyo group la W'app la familia kwamba wote mtafanana mawazo na mitazamo humu utakutana na kila aina ya akili so ni vyema kujua jinsi ya ku-control vidole vyako kwamba kile unachokiandika hakiwakwazi wengine?je huyu uliyemwambia acha ujinga mfano ukajua kumbe ni baba yako mdogo au mjomba'ako aliyewahi kukuchangia ada kipindi unasoma utajisikiaje?

Mf:hapo juu umeomba kukaribishwa,kwanini usingemuandikia Mello PM huko akukaribishe mpaka kuja hapa jukwaani kutaka members wakukaribishe?huoni na wewe umefanya kutania watu coz sisi siyo wamiliki wa JamiiForums na hakuna aliyekutukana?
 
Back
Top Bottom