Naomba kujuzwa Video Editing Programs ambayo ni rahisi kujifunza

Powersoft ni very easy to use.

Hauhitaji kujifunza kama unataka kutoa kitu simple.
 
Kwa mwenye Idea ya video editing interview zinakuaje?maana nimeangalia google ni maswali ya kawaida hayapo technical sana nami sio mzoefu sana kwenye editing.Ntakua na Interview kwa njia ya Zoom kesho kutwa.Kwa mwenye uzoefu anisaidie.
Shukran
 
Iko Bomba sana ila naona napewa limit ya 30seconds tu. Unlimited hadi ninunue.
Professor,

Jiongeze kuwa na ubunifu ndani yako, ambatanisho chini utaona kitufe chenye chanya (Plus +) bofya hicho kuongeza maudhui yako yaishinde sekunde 30.

BluCess 192825_1.jpg
 
Kwa mwenye Idea ya video editing interview zinakuaje?maana nimeangalia google ni maswali ya kawaida hayapo technical sana nami sio mzoefu sana kwenye editing.Ntakua na Interview kwa njia ya Zoom kesho kutwa.Kwa mwenye uzoefu anisaidie.
Shukran
Sijaelewa, tafadhari badili namna ya uwasilishaji andiko lako.
 
Sijaelewa, tafadhari badili namna ya uwasilishaji andiko lako.
Kwa jinsi nilivyomuelewa ni kuwa kesho kutwa anakwenda kufanya interview kwa ajili ya kupata kazi ya video editing kwenye kampuni ya zoom. Sasa anahitaji kujua ni maswali gani anaweza kuulizwa kwenye hiyo interview ili aweze kujiandaa maana yeye siyo mzoefu sana kwenye video editing.
 
Kwa jinsi nilivyomuelewa ni kuwa kesho kutwa anakwenda kufanya interview kwa ajili ya kupata kazi ya video editing kwenye kampuni ya zoom. Sasa anahitaji kujua ni maswali gani anaweza kuulizwa kwenye hiyo interview ili aweze kujiandaa maana yeye siyo mzoefu sana kwenye video editing.
Ninahitaji tips kujua ni maswali gan naweza kukutana nayo Interview ni kupitia Zoom.Nimegoogle majibu yao sio technical sana.Walinipa kazi ya ku edit raw footage nikafaulu Sasa ni oral interview nahitaji kujua maswali technical ninayoweza kukutana nayo.
 
Sijaelewa, tafadhari badili namna ya uwasilishaji andiko lako.
Kwa jinsi nilivyomuelewa ni kuwa kesho kutwa anakwenda kufanya interview kwa ajili ya kupata kazi ya video editing kwenye kampuni ya zoom. Sasa anahitaji kujua ni maswali gani anaweza kuulizwa kwenye hiyo interview ili aweze kujiandaa maana yeye siyo mzoefu sana kwenye video editing.
Ninahitaji tips kujua ni maswali gan naweza kukutana nayo Interview ni kupitia Zoom.Nimegoogle majibu yao sio technical sana.Walinipa kazi ya ku edit raw footage nikafaulu Sasa ni oral interview nahitaji kujua maswali technical ninayoweza kukutana nayo.
 
Ninahitaji tips kujua ni maswali gan naweza kukutana nayo Interview ni kupitia Zoom.Nimegoogle majibu yao sio technical sana.Walinipa kazi ya ku edit raw footage nikafaulu Sasa ni oral interview nahitaji kujua maswali technical ninayoweza kukutana nayo.
Mkuu, kwa kweli hapo sifahamu. Ila nadhani ukiwa una general idea ya video editing ni fresh tu maana hawawezi kukuuliza kitu kilicho nje ya hapo.

Ngoja wengine waje kukupa mwonhozo zaidi.
 
Mkuu, kwa kweli hapo sifahamu. Ila nadhani ukiwa una general idea ya video editing ni fresh tu maana hawawezi kukuuliza kitu kilicho nje ya hapo.

Ngoja wengine waje kukupa mwonhozo zaidi.
Poa poa mkuu
Mkuu, kwa kweli hapo sifahamu. Ila nadhani ukiwa una general idea ya video editing ni fresh tu maana hawawezi kukuuliza kitu kilicho nje ya hapo.

Ngoja wengine waje kukupa mwonhozo zaidi.
poa Poa mkuu
 
Kwa jinsi nilivyomuelewa ni kuwa kesho kutwa anakwenda kufanya interview kwa ajili ya kupata kazi ya video editing kwenye kampuni ya zoom. Sasa anahitaji kujua ni maswali gani anaweza kuulizwa kwenye hiyo interview ili aweze kujiandaa maana yeye siyo mzoefu sana kwenye video editing.
Oke Stephen, umeeleza vyema.

kabwigwa endapo practical interview ulifanya masuala ya raw! basi oral tegemea masuala mfano ya;-

• Maudhui yapi unapendelea zaidi kufanyia editing? | Unaweza kuzalisha video kwa wingi au uchache wa bajeti?

• Muda gani unaweza fanyia kazi ya aina fulani? | Kazi ulizowahi kufanya, ainisha.

• Nini maana ya VFX? | Ultra HD ni nini?

• 2D na 3D utendaji wake upo vipi? | Video ya aspect ipi inafaa kutumika katika runinga?

Maswali ni mengi hakika, kikubwa hayatoki nje ya field.
 
Oke Stephen, umeeleza vyema.

kabwigwa endapo practical interview ulifanya masuala ya raw! basi oral tegemea masuala mfano ya;-

• Maudhui yapi unapendelea zaidi kufanyia editing? | Unaweza kuzalisha video kwa wingi au uchache wa bajeti?

• Muda gani unaweza fanyia kazi ya aina fulani? | Kazi ulizowahi kufanya, ainisha.

• Nini maana ya VFX? | Ultra HD ni nini?

• 2D na 3D utendaji wake upo vipi? | Video ya aspect ipi inafaa kutumika katika runinga?

Maswali ni mengi hakika, kikubwa hayatoki nje ya field.
Thanks bro ubarikiwe
 
Nataka nijifunze ku-edit video kwa ajili ya youtube.

Content yenyewe nakuwa nakaa na kuelezea kitu muda mrefu. Nadhani hapa nahitaji kitu simple tu.

Baada ya Corona kuisha, ntaanza adventures, nataka niwe narecord na kuzirusha youtube. Sasa hapa nadhani nitahijaji kitu poa zaidi.

Programs huwa mnatumia?

Iwe simple to use and easy to learn.

Nataka nijifunze kwa miezi 6.

So far nazifahamu Final Cut Pro na Adobe Premier Pro.

NB: ukiitaja programs elezea kuhusu mazuri na mapungufu yake.
Beginner







Professional



 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom