chuxxe
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 600
- 348
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa torrents na vingi nilijifunza humu humu mpaka kuusu maswala ya seeders niliyapata humu humu mwanzoni kabisa kwa network nilikuwa nadownload GB 14 tyu yhn kwa masaa sita nilikuwa napata 1 Mbps ila badae ilikuja kupanda mpka 5mbps.
Baadaye nikaja kuhama nilipokuwa naishi na hapo ndio shida ikaanza sehem niliyopo niliisi haina 4g maana natumia smart kitoch so kupata 4g mpk nicomand hivyo torrent niliishia kupata 1mbps kushuka chini na juzi likaamua kuachana na torents nikaamua kutumia idm hapa kuna utofaut kwa idm napata 3Mbps na kuendelea na Jana nimefanikiwa kudownload gb30 kwa masaa sita hii imenipa maswali kidg je pia torrent nao kuna mda uwa wqnasumbua sio
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Baadaye nikaja kuhama nilipokuwa naishi na hapo ndio shida ikaanza sehem niliyopo niliisi haina 4g maana natumia smart kitoch so kupata 4g mpk nicomand hivyo torrent niliishia kupata 1mbps kushuka chini na juzi likaamua kuachana na torents nikaamua kutumia idm hapa kuna utofaut kwa idm napata 3Mbps na kuendelea na Jana nimefanikiwa kudownload gb30 kwa masaa sita hii imenipa maswali kidg je pia torrent nao kuna mda uwa wqnasumbua sio
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app