Hvo vyote garama yake ikoje nanivibali vyamudagani nakuvipata inachukua mudaganiUkitaka kusafirisha bidhaa za kilimo unatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo
1. Phytosanitary certificate kutoka wizara ya kilimo
2. Certificate of origin kutoka Tanzania Chamber of Commerce
Kuna vitu vingine vidogo kama TRA Customs documentation
Ukihitaji msaada wa vitu vyote hivyo nitakusaidia.
Whatssapp +255624004050
Sent using Jamii Forums mobile app