Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Naomba kuuliza hapa bongo ukitaka kuuza dawa ya miti shamba inayotibu magonjwa sugu unapaswa umuone nani na vibali gani hasa unapaswa uwe navyo.
Maana hapa nilipo kuna dawa ya kisukari kuna mtaalam wangu kijana msomi kaigundua sasa nawaza namna ya kuanza kuibrand hapa bongo nk.
Karibu kama unajua utaratibu.
Maana hapa nilipo kuna dawa ya kisukari kuna mtaalam wangu kijana msomi kaigundua sasa nawaza namna ya kuanza kuibrand hapa bongo nk.
Karibu kama unajua utaratibu.