Naomba kujuzwa utaratibu wa kujiunga na Vyuo ndani ya East Africa

kalooo

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
270
154
Habari wadau,

Naomba kwenye ufahamu na namna ya kupata vyuo nje na Tanzania hasa Uganda nataka nikachukue Bach. Of Environmental Management au Applied geology

Kama kuna Mtu anahusika. Na hizo mambo naomba anipe contact.
 
Mkuu mi nipo makerere kwa level na course tofauti na hiyo yako,,ila kwa vyuo vya ukanda wetu hakuna complications, kama unaomba hapa home tu...unaingia kwenye website ya chuo unafanya applications, kuna madogo wa bongo hapa wanapiga bachelor zao japo sio wengi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iyo inawezekana chakufanya wewe ingia kwenye website ya chuo wakati wa Application zake una Apply simple Sana
 
Mkuu mi nipo makerere kwa level na course tofauti na hiyo yako,,ila kwa vyuo vya ukanda wetu hakuna complications, kama unaomba hapa home tu...unaingia kwenye website ya chuo unafanya applications, kuna madogo wa bongo hapa wanapiga bachelor zao japo sio wengi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtalaam nakubali najua hela ya kibongo iko juu kidogo so ada kwa smster kwenye ngapi na vip GPA inayotakiwa ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ada inategemea na course na kweli hela yetu ipo juu...hostel karibu na chuo nnapokaa mim ni laki 7 kwa semester, kitu kama mia 4 hivi ya bongo! Nafikir pamoja na ada ukiwa na 2m kwa mwaka unaweza soma, nje ya gharama za chakula na nauli za kwenda na kurudi! Ila ukiingia kwenye web ya chuo unapata gharama halisi za kila kozi..kama ukija makerere tutafutane mkuu, currently, nipo bongoland kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK ngoja mkuu nikipata hapo makelele itabidi nikucheki mdau.
Ada inategemea na course na kweli hela yetu ipo juu...hostel karibu na chuo nnapokaa mim ni laki 7 kwa semester, kitu kama mia 4 hivi ya bongo! Nafikir pamoja na ada ukiwa na 2m kwa mwaka unaweza soma, nje ya gharama za chakula na nauli za kwenda na kurudi! Ila ukiingia kwenye web ya chuo unapata gharama halisi za kila kozi..kama ukija makerere tutafutane mkuu, currently, nipo bongoland kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom