Spa Africa
Member
- Mar 8, 2018
- 24
- 57
Wakuu naomba kujua kwa wale wenye ufahamu,eti ni vitu gani natakiwa kukamilisha ili niweze kusafirisha maiti toka mkoa mmoja kwenda mwingine kwa kutumia ndege?
Je kwa makadilio gharama inaweza kuwa bei gani ili niweze kuusafirisha mwili?Na je ni lazima kukodi ndege kama tunavyofanya kwenye kukodi magari tunapopeleka maiti mkoani au unaweza kupakia tu kwenye ndege ya abiria?
Naomba msaada kwa wale wenye uelewa.Asante
Je kwa makadilio gharama inaweza kuwa bei gani ili niweze kuusafirisha mwili?Na je ni lazima kukodi ndege kama tunavyofanya kwenye kukodi magari tunapopeleka maiti mkoani au unaweza kupakia tu kwenye ndege ya abiria?
Naomba msaada kwa wale wenye uelewa.Asante